Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

hamfikia hata chembe ZZK,unaacha kutaja watu wenye hoja zenye mashiko,unataja watu wa visasi.
 
Lema sio muoga na ni mjasiri asiyehongeka kirahisi kama wale tulowaamini kina ZITTO na SHIBUDA ambao kutwa kucha wanawaza madaraka wakati hata kwenye harakati za kukijenga chama hatuwaoni..
 
Namtofautisha G. Lema na wanasiasa bali mwanaharakati aliyekamilika. Mtu mwenye uwezo wa kuhoji chochote bila kuogopa mtu.
Nakumbuka alihoji kushinda kwa kesi ya Zombe bungeni, Ulongo wa waziri mkuu na kuwasihi polisi kuangalia uma zaidi ya watawala. Hakukubali uhuni kwenye uchaguzi wa meya wala mwafaka wa kijinga.

Pili anamsimamo kitu ambacho wanasiasa wengi wanakikosa. Pamoja na kuvuliwa ubunge na kujaribu kuvutwa Lema yuko palepale. Ni tofauti sana ona wanasiasa kama Kafulila na Hamadi wabunge wa mahakama walivyopoa wakimwangalia JK Kwa jicho la upole ili aongee na majaji vizuri. Unamkumbuka Zito wa awali na yule wa baada ya kuwekwa kwenye Tume ya kuchunguza mikataba ya madini. Tume ile ilifanya kazi moja tu kumnyamazisha kabisa zito na kumuweka karibu na JK Na ilifanikiwa 100%.

Namfananisha na hayati Chacha Wangwe. Aliwahi kukataa dhamana kuwa bora afie jela kwani mikesi imekua mingi na inampotezea muda. Lema hana kiburi bali anamsimamo

Kikubwa zaidi hana papara kama wengi wanavyozani ndiomaana wakatiwote si mtu wa kutumbulia macho madaraka makubwa ndani ya chama au nchi yake japokuwa anajina na uwezo mkubwa. Kama ilivyo kwa Zitto au M.

Sijui elimu yake lakini ata kama ni form 4 poa tu kwani kawawa alikuwa waziri mkuu

hakuna mwanasiasa aliyehimili mikikimikiki kama G. Lema. John Mnyika sawa ila hana madhara kwenye harakati na hajapata misukosuko tukampima.

Nchi hii imejaa wezi wa mali ya uma na wanaiba waziwazi bila kificho tunaitaji mtu anaweza kukemea waziwazi bila kutumia nahau au tafsida. Mtu mwenye msimamo mkali na mzalendo kama G. Lema.

Japo jina umekosea ila at least you wrote something..
Bwana Godbless Lema ndio ameshajiaminisha kwa wana arusha hata kwa uana harakati wake, hana ubaguzi, ukikutana nae njiani hata kama sio mbunge wa eneo lako, ukipiga gari mkono, anasimama na mnapiga stori mbili tatu then anang'oa, tofauti na viongozi wengine wengi hususan magamba kwani hata nafasi hutopata ya kuwapiga mkono manake watakua na ulinzi wa polisi
 
Mmmmmm....haya eee. Kwa kuongoza nchi kama kuna mbadala wa Dr Slaa, basi kwangu mimi Zitto ananifaa. Lema ni mzuri kwenye malumbano, maandamano ni jasiri sana lkn si ....
 
....pumba zingine bwana utamlinganishaje lema na slaa wewe,lema hafai kuwa hata kiongozi wa nyumba kumi

Waombe radhi wana arusha, na viongozi waliompa uwaziri kivuli, that is too much... Lema ni kiongozi mzuri sana lkn pengine uraisi badobado.
 
Lema awe rais duu! Labda ukuu wa wilaya. Au unatumia ule usemi cdm hata waweke jiwe watashinda!
 
Naona mtoa mada hamjui mtu anayemsifia.

CDM bwana wao wana kauli kwamba hata ukiweka jiwe
litashinda! Hii kauli siipendi

Inaonyesha ni jinsi gani they are stupid.....jiwe liongoze watu, nosense...
 
Lema not yet a Presidential material, Urais sio uanaharakati ni kuongoza wenzako katika chama na taifa kwa uvumilivu mkubwa na kwa msimamo thabiti, bila kuyumbishwa na maslahi binafsi. Jamani tusiyumbishwe na hizi" MOMENTUM POLITICS". The only president come 2015 is Dr. SLAA
 
Wewe kweli ni Chadema addicted hivi mtu kama Lema unataka hawaongoze Watanzania kama Rais wao ni kituko cha mwaka...yaani kuhuoji hukumu ya Zombe bungeni ndio sifa ya kuwa Rais? Mtu ambaye anaweza kukaa juu ya bonet ya gari huku kalala na gari linakwenda mwendo kasi hivi mtu wa aina hiyo unataka Watanzania wampe Urais kweli.
 
hamfikia hata chembe ZZK,unaacha kutaja watu wenye hoja zenye mashiko,unataja watu wa visasi.

Hilo jina unalotumia la "kaliua urambo" ni jina mahali unapotokea ambapo ni tabora na watu wa huko kaliua mm ninawafahamu maana ni vilaza sana ndio maana kila siku wanatawaliwa na juma kapuya(gamba) yani nyie huko ni mazoba kupindikia ndio mana sishangai kuona unamponda leama maana siasa za lema kwa vilaza kama nyie ni vigumu sana kuzielewa.
 
Wewe kweli ni Chadema addicted hivi mtu kama Lema unataka hawaongoze Watanzania kama Rais wao ni kituko cha mwaka...yaani kuhuoji hukumu ya Zombe bungeni ndio sifa ya kuwa Rais? Mtu ambaye anaweza kukaa juu ya bonet ya gari huku kalala na gari linakwenda mwendo kasi hivi mtu wa aina hiyo unataka Watanzania wampe Urais kweli.

najua unaumwa ugonjwa wa LEMAPHOBIA ww! Mbona hushangai Vasco kuwa Rais?
 
Naona mtoa mada hamjui mtu anayemsifia.

CDM bwana wao wana kauli kwamba hata ukiweka jiwe litashinda! Hii kauli siipendi

Mkuu una uhakika kuwa mleta uzi ni mchadema? Magamba wanatapatapa sana wana jaribu kila njia kuichafua Chadema
 
Mnapoteza muda bure! hakuna Rais atakayetoka chadema labda awe rais wa chama cha CDM pekee lakini eti kuwa Rais wa Tanzania hapo mtapata presha bure maskini.Nchi hii haiongozwi kwa ukanda na hauwezi hata kwa asilimia chache kumfananisha Zito Kabwe na Lema.Du!!!! kwa kweli uwezo wa kuchambua mambo kwa kina wa watu wengine ni mdogo sana.Rais wa Tanzania hata iweje lazima atoke CCM ni ccm pekee iliyojengeka na yenye uwezo wa kuongo nchi hii bila matatizo.Hivi umpe urais lema au CDM unafikili nchi itakuwaje?Maana hebu nipeni majina ya mawaziri wenye uwezo wa kuongoza Wizara kutoka CDM ambao mnafikili wataivusha Tanzania kama si kuirudisha nyuma kwa kujishibisha matumbo yao.Sasa hivi wana uchu sana na kutamani kupata nafasi wakisha pata hao watanzania tutasaga meno maana wengi wao wana njaa sana ya kujiweka vizuri kimaisha.Ni bora zimwi likujualo halikuli likakwisha.
 
tumeshaambiwa na ccm kua panga pangua nchi haichukuliwi na upinzani kwa hiyo sioni hata umuhimu wa mimi kupiga kura maana tayari tunamjua mshindi
 
najua unaumwa ugonjwa wa LEMAPHOBIA ww! Mbona hushangai Vasco kuwa Rais?

Nadhani na wewe unaumwa ugonjwa wa Kikwetephobia..

Mtu kama Lema upeo na ufahamu wake ni mdogo sana sio kila mtu anaweza kuwa Rais.

Angalia hata michango aliyokuwa akichangia Lema bungeni huwezi kumkuta Lema akichangia bajeti ya Wizara ya Fedha au Wizara ya Afya, yeye ni maandamano tu na kupigana.
 
Wanaowaza uraisi na madaraka ndani au nje ya CHADEMA huu uzi utawauzi sana au kuwagombanisha na Lema.

Nimeangalia hali ya nchi ilipofikia. Nani mwenye ujasiri na akipata bunduki anaweza kumuua nyani kwa kumwangalia usoni.

Zitto haaminiki uliza aliosomanao chuo alivyowageuka wenzake na kupuuza madai ya wanachuo baada ya kupata madaraka chuo kikuu.

John mnyika ni mtulivu na busara lakini hajapata msukosuko na vishawishi kupima uzalendo wake

Mbowe anabusara, mvumilivu na siasa za kati kiasi. Sa nji hii inaongozwa na wendawazimu ambao kwa kutumia busara hawawezi kukuelewa.

Kama majambazi kama Mkapa na Rowasa wanakuwa maraisi kwanini Lema aushindwe.

Kama Slaa akisema hagombei raisi atakaetufaa ni G lema

Nilishaona mawazo yako toka awali na nikakugundua ni miongoni mwa maanti-Zitto mliojaa humu JF.
Kwa kifupi huezi kumfananisha Zitto na huyo Lema wako hata chembe, ni sawa na kufananisha usingizi na kifo.
Zitto ni mtu makini, asiyepelekeshwa na mtu, anayejua azungumze nini na wapi, anayejua maana ya upinzani na asiye mropokaji. Huwezi kamwe kumfananisha na Lema.
 
Namtofautisha G. Lema na wanasiasa bali mwanaharakati aliyekamilika. Mtu mwenye uwezo wa kuhoji chochote bila kuogopa mtu.
Nakumbuka alihoji kushinda kwa kesi ya Zombe bungeni, Ulongo wa waziri mkuu na kuwasihi polisi kuangalia uma zaidi ya watawala. Hakukubali uhuni kwenye uchaguzi wa meya wala mwafaka wa kijinga.

Pili anamsimamo kitu ambacho wanasiasa wengi wanakikosa. Pamoja na kuvuliwa ubunge na kujaribu kuvutwa Lema yuko palepale. Ni tofauti sana ona wanasiasa kama Kafulila na Hamadi wabunge wa mahakama walivyopoa wakimwangalia JK Kwa jicho la upole ili aongee na majaji vizuri. Unamkumbuka Zito wa awali na yule wa baada ya kuwekwa kwenye Tume ya kuchunguza mikataba ya madini. Tume ile ilifanya kazi moja tu kumnyamazisha kabisa zito na kumuweka karibu na JK Na ilifanikiwa 100%.

Namfananisha na hayati Chacha Wangwe. Aliwahi kukataa dhamana kuwa bora afie jela kwani mikesi imekua mingi na inampotezea muda. Lema hana kiburi bali anamsimamo

Kikubwa zaidi hana papara kama wengi wanavyozani ndiomaana wakatiwote si mtu wa kutumbulia macho madaraka makubwa ndani ya chama au nchi yake japokuwa anajina na uwezo mkubwa. Kama ilivyo kwa Zitto au M.

Sijui elimu yake lakini ata kama ni form 4 poa tu kwani kawawa alikuwa waziri mkuu

hakuna mwanasiasa aliyehimili mikikimikiki kama G. Lema. John Mnyika sawa ila hana madhara kwenye harakati na hajapata misukosuko tukampima.

Nchi hii imejaa wezi wa mali ya uma na wanaiba waziwazi bila kificho tunaitaji mtu anaweza kukemea waziwazi bila kutumia nahau au tafsida. Mtu mwenye msimamo mkali na mzalendo kama G. Lema.
Yaani bado kidogo npate heart attack, Lema kuwa raisi maweeeeee kweli dunia inafika mwisho afadhali akapewe KIBONDE kuliko Lema
 
Back
Top Bottom