Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

ni usalendo wa hali ya juu!!!!najua tunao kina lema wengi tu espacially kipindi hiki,ila hawana pa kuoneshea uzalendo wao,nawaalika wazalendo wote tuungane tulizike hili jitu lenye meno marefu(ccm)
 
jamani wa2 wengine sijui wanawaza kwa ku2mia nn Lema awe rais wa Tz?????????????????????????? labda awe rais wa wewe na familia yako we na mkeo na watoto wako mshumbusi
 
Bila shaka wewe ni gamba......GOSBET LEMA??
 
Lema ni mpambanaji shupavu anajiamini na anajua kutetea hoja yake na mwenye ushawishi mkubwa sana,tumpe muda kama ataendelea hivyo hivyo ipo siku atafanikiwa na kufanya makubwa zaidi ya aliyo fanya na anayofanya.Unapo fikia kumpa mtu kura ya kuwa raisi inabidi kuomba na kupewa maona ya kuchagua kiongozi bora na si bora kiongozi.
 
Yaani Lema ndiye awe rais, wa kitu gani hasa? Kama ni rais wa waropokaji hapo sawa, lakini kama unaongelea kuwa Rais wa Tanzania big NO.
The unseen is illustrated by the seen.
 
jamani,tuache utani tujadili facts,Wasomi wangapi wamekuwa vituko tu,nchi hii ipo mahali pabaya kwasababu ya wasomi haohao mnaowasifu.

mimi nawakumbuka akina kikwete,profesa kapuya, Maige, ikerege,chami na wengine wengi tu wamefanya nini pamoja na elimu zao kuwa kubwa?

inakuwa sawa na Zamani watu waliamini sana kuwa watu wenye Vipara walikuwa na busara sana ikaja kuonekana baadae kwamba sivo kabisa.

Simaanishi kuwa agombee, lakini nakubali kuwa anafaa kuwa Rais iwapo tu Chama chake kitamridhia.
kuna haja gani kuwa na mtu kama Zitto mtu anayeweza kupokea rushwa akawasaliti watu wake?kisa eti ana elimu No no no!!!

Mzalendo wa kweli na jasiri sio bitozi au sura nzuri,mtu ataekuwa tayari kusikiliza shida za wananchi akajishusha na kuzitatua huyo hasa!!!wa-tz wanamtaka.
 

Mkuu nimeipenda sana hoja yako!
 

Jamani sasa anasoma lakini au hamjui
 
sasa hivi hatutakiwi kuanza kuzungumza majina ya nani anafaa kuwa rais! tunatakiwa tuanze kuzungumzia matatizo ya taifa letu vipaumbele vyetu na namna ya kuyatatua! tukishayafahamu yote hayo ndio tufikirie nani anaweza kubeba jukumu hilo la utekelezaji! kukimbilia kutaja majina ndiko kulikotupatia rais ambaye alipoulizwa kwa nini taifa ni maskini bila aibu alijibu "sjiu" lakini kama tungekuwa tumeainisha matatizo na vipaumbele tukampata rais kwa misingi hiyo kwa vyovyote angejua matatizo yetu na hasa umaskini na vipaumbele vya kutatua vipoje!!
 
Hakuna lema anatakiwa kuwa mbunge wa arusha na waziri wa mambo ya ndani.
 
wewe michango yako hapa JF kwani ipoje??si ni ***** tu kila siku??
 

nyie msio mazoba mbunge wenu nani?,au Raisi wako nani? au unadhani kura yako moja ndo itampa Lema Uraisi?,ubunge wenyewe kwa sababu watu makini walikuwa bado hawajaamka kujua upinzani unaweza kuchukua nchi 2015 hata upinzani vichwa makini vitaongezeka wabunge wenu hao wa visasi na vurugu hawatarudi,tunahitaji watu makini kama zitto,mnyika,lissu etc

 
Kweli taasisi ya u-Rais imeshuka viwango. Natambua kazi kubwa inayofanywa na CHADEMA kuleta mageuzi nchini, lakini Lema simuoni kama katulia kuweza kuwa kiongozi makini serikalini. Kupigania wanyonge, anaweza sana lakini simuoni kama mtu mwenye mpangilio na mikakati muafaka ya uongozi.
 
kwa kweli mimi na CDM, nampenda sana Lema na nilikuwa mmoja wa waliompa kura kuwa mbunge Arusha, ila kwa suala la Urais nadhani bado sana, labada kwa uwaziri.
 
Inaonyesha ni jinsi gani they are stupid.....jiwe liongoze watu, nosense...
Mkuu Remmy kauli zingine zinaonekana za kisiasa lakini inakuwa kama matusi kwa watanzania. Kwani wakisema kwamba tunaweka watu makini ambao watashinda/wanashinda kuna ubaya gani badala ya kusema ati hata ukiweka jiwe litashinda. Jiwe likishinda hivyo litawatawala wapiga kura!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…