Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Good,under 30 chief
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good,under 30 chief
Kuna watu wamemaliza 2015 hawana hata experience Kwa kua walikosa hata pa kujishikiza kwenye ushindani wa ajira utumishi wanatoboa kweli? Na private nako mkuu si ndo shida aukwa graduates wa 2015-2020 Chukua hii ifanyie kazi. otherwise imekula kwako , ukiwa huna mchongo washikaji hawapokei simu kabisa
pamoja chief. now washkaji wako Wcf, mdh, pass, TBS ,LGA and MDAS nkasante kwa ushauri
utumishi wanauliza model ya maswali ya kada yako mkuu! nothing elseKuna watu wamemaliza 2015 hawana hata experience Kwa kua walikosa hata pa kujishikiza kwenye ushindani wa ajira utumishi wanatoboa kweli? Na private nako mkuu si ndo shida au
pamoja chiefSawa
Sawapamoja chief. now washkaji wako Wcf, mdh, pass, TBS ,LGA and MDAS nk
upo kama intern au nani hapo world vision?Nipo WVT ila bado sielew.. Hao jamaa zako wenyew wameambiwa watakunja ngap?
Sahihi chief ,huyu maza anaelewa madhira wanayopitia vijanaJambo zuri huu utawala wa Mama mzuri Sana Maokoto yanatiririka vijana wanapata michongo
Naona illumination Sana
naelewa chief ,mi nilipush mpaka vitu vya getoIli kufanya hayo inabidi na wewe walau uwe na kakibunda.
Pesa za nauli, copies na kuedit cover letter mara kwa mara.
Ndo hapo pro-jobles tunatafuta popote pa kujishkiza ili tupate walau hizo bukubuku za nauli na stationary.
Intern mkuu kutoka taesaupo kama intern au nani hapo world vision?
wanakunja parefu. walipiga intern ya mwaka mmoja hapo kikubwa uwe na nidhamu chiefIntern mkuu kutoka taesa
Point.Ili kufanya hayo inabidi na wewe walau uwe na kakibunda.
Pesa za nauli, copies na kuedit cover letter mara kwa mara.
Ndo hapo pro-jobles tunatafuta popote pa kujishkiza ili tupate walau hizo bukubuku za nauli na stationary.
Mbona sion hizo daliliwanakunja parefu. walipiga intern ya mwaka mmoja hapo kikubwa uwe na nidhamu chief
Hata field hamkwenda?Na Kwa ambayo hawajawahi kuajiriwa kabisa inakuaje upande wa CV na hawajafanya internship Kwa kua hawakua na wa kuwashika mikono?
CV zao zinakuaje
chief wenzako intern walipiga mwaka ,then zikatokea nafasi wakalamba moja kwa moja.Mbona sion hizo dalili