Kama sisi simba tulichilimbwa 5 kama wangekutana na galaxy zingefika ngapi?

Kama sisi simba tulichilimbwa 5 kama wangekutana na galaxy zingefika ngapi?

Mpira hauna formula ndio maana Ihefu inayochapwa na simba, bado ina record ya kuichapa Yanga
 
Mpira hauna formula ndio maana Ihefu inayochapwa na simba, bado ina record ya kuichapa Yanga
Ihefu waligoma kupokea bahasha labda! Pengine walipewa kidogo kulingana na udogo wao, wakagoma.

Ndio, wachache walipokea kuruhusu goli 5.

Case closed.
 
Kama sisi tuichilimbwa 5 na Yanga na sisi tukawafunga wafuga vitambi 6, je wafuga vitambi wangekutana na yanga wangechilimbwa ngapi?

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Wewe una akili kweli?hivi umesahau kuwa yanga alifungwa Moja bila na al ahly misri wakati Simba alidroo na al ahly huko huko misri? kweli mume wako hapo Hana mke ila ni kituko tu
 
Kama sisi tuichilimbwa 5 na Yanga na sisi tukawafunga wafuga vitambi 6, je wafuga vitambi wangekutana na yanga wangechilimbwa ngapi?

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Msivyo na akili,Simba aliupiga mwingi dhidi ya Al Ahly na kusare 2-2 kule Egypt mkadhani Al Ahly ni dhaifu na mkaahidi mtampiga 5.Kilichowakuta leo mnakiri wale ni level nyingine.
Ila ninyi hata hivyo hamna akili.
Na hamjawahi kulipa kisasi cha goli 6 mlizofungwa na Simba.
 
Ushafungwa Mechi ya Mwisho na Ali Ali.... Umeishia point 8 tu...!

Utulie basi bibie...!

Waachie waliokwalifai Wenye Pwente 9 na kuendelea Waanzishe nyuzi...!

Kidomo Domo namna hiyo,tutawaeleza CAF Waweke kanuni Kwenda robo Lzm Uvuke point 9 Ili mkome..! Uwe na nidhamu.
 
Ngoma ndiyo kwanza imeanza. Na uzuri kwenye hatua ya sasa, hakuna tena wafuga vitambi. Kila timu itavuna ilichopanda.
 
Back
Top Bottom