Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Kimaumbile hakuna tofauti kwa watu wote, Iwe mwafrika, Mchina, etl mfumo uko sawa, Inashauriwa sharti uchutame ili mzigo ushuke vyema
Hapo aliposema mwafrika ndio nimemtoa akili kabisa na kuishia hapo kwenye kusoma.

Actually huu ni ushauri wa kitaahira tu alioutoa mtoa mada.

Mwisho atasema hata touch screen phone ziliundwa kwa ajili ya wakoma, kama sio mkoma tulia feature phones ama za battan.

Ni mawazo ya watu wajinga, wasio na exposure yoyote na walio na elimu ndogo.
 
Ahsante sana kwa Bandiko hili.


Huu Ukweli mchungu uwafikie wale wanaodai vyoo vyetu vimepitwa na wakati, au kwamba havina ubora.

Mafact ya nguvu.
 
science za ajabu ajabu mnazitoa wapi?
mfuniko unaosema ni upi?

brother mwili wa binadamu umeumbwa kwa sensor nyingi sana

unapopatwa haja miscles zenyewe zikifika eneo salama zitajiachia mzigo ushuke

ishu ya kumaliza au kutokumaliza haihusiani na mascles au kifuniko kama unavyoita
bali ni haraka za mkata gogo hasa wale wa gogo kavu au gumu


pia namna ya kukisafisha
bawasir huwakuta sana watumia tishu au toilettepaper maana njia sahihi ni kutumia maji na sio tp kinyesi hakutakuisha


swala la kukaa au kuchuchumaa yote sana maana hukai kwe ye kiti


tafuteni pesa kengemkeni mitomingi msilete uadui na starehe


na hapo basi ungeleta takwmu za wabawasilika
tuchambue vyanzo vyao
uone kama choo ya kukaa itakuwa.moja wapo?

kukubwa kuhusu matumizi ya choo ya kukaa sio ya watu wengi

sio choo ambayo ni ya public ndo ukaiweka
hapo ni kushare mambukizi sasa

ile inafaa kwa matumiz ya masterbesrom mahotelini ambapo usafi huzingatiwa sana pia
 
Bro kama ishu ni sensor kwanini usijisaidie ukiwa umesimama?
 
Haja ikikukamata hata ukiwa umesimama inatoka
 
Nisamehe bure tu nimekueleza kiufundi mkuu!
 
Nakuunga mkono 100% binafsi si enjoy kabisa na huwa simalizi haja ...

Napia hivi vyakukalia si ndo vinaleta na ushoga jamani maana vinakata seal unakua lindaless
 
Hakuna choo sikipendi kama cha kukaa, alafu kuna watu ndio wanafanya ni cha public.

Wenye nyumba za kupanga nao siku hizi wanaviweka sana sijui wanavipendea nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…