min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
[emoji87][emoji87]Nimehamia mahali choo cha kukalia mknd umerelAx naninakunya vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji87][emoji87]Nimehamia mahali choo cha kukalia mknd umerelAx naninakunya vizuri
Kabisa, na Kama hakuna maji ya uhakika chimba shimo tu maana hata cha kuchuchumaa na kuflash kakikufai.Punguzeni uchafu majumbani mwenu tumieni vyoo vya kupumzika vya kukaa uchafu wenu unawafanya muone hivyo vyoo sio vizuri ila nimegundua hivyo vyoo vinataka watu wasafi kweli...
Inatumbukizwa humohumo na kama una ndefu inaenda kujiloweka kule kwenye maji machafuYale maji hayawarukii? Halafu kwa mwanaume uume unaukabidhi wapi wakati wa haja kubwa? Yaani mikojo inaangukia wapi?
😁😁😁 huo ujinga sifanyi asee yani unaikunjia humohumo? Halafu ukutane na baridi ya umasaini ngorongoro kudadekInatumbukizwa humohumo na kama una ndefu inaenda kujiloweka kule kwenye maji machafu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Na pia ukitumia choo cha India ambacho kinatumia maji kidogo kwenye ku flush na pia rangi hakibadiliki kwa muda mrefu sana choo kinakua kisafi muda wote...Kabisa, na Kama hakuna maji ya uhakika chimba shimo tu maana hata cha kuchuchumaa na kuflash kakikufai.
Fundi ujenzi na umeme, akishauri masuala ya afya!Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu.
Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi. Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa.
Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa.
Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).
Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya.
Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa;
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha Bawasiri
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi
Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia;
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote
Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo;
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile
View attachment 2886667
Mzee upo nshamba?Sokoni pale misheni? Msalimie mtendaji wa kijiji dada Kuruthumu,.
Na pia ukitumia choo cha India ambacho kinatumia maji kidogo kwenye ku flush na pia rangi hakibadiliki kwa muda mrefu sana choo kinakua kisafi muda wote...
Kwa ivobwanyaruanda mpaka bush wanakalia vyoo??Ushamba tu,ingekuwa hivyo wazungu,wanyarwada na jamii zingine wangeongoza kwa madhara hayo
Hivi ukishamaliza kujisaidia kwa kutumia choo cha kukaa huwa mnatawazaje?Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu.
Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi. Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa.
Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa.
Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).
Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya.
Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa;
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha Bawasiri
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi
Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia;
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote
Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo;
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile
View attachment 2886667
Kuna kibomba maalum kwa kutawazia kinatoa maji kwa spidi kinaitwa shatafHivi ukishamaliza kujisaidia kwa kutumia choo cha kukaa huwa mnatawazaje?