Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Ushauri mzuri lakini hauna credibility yaani umejiita FUNDI UJENZI lakini ishauri uliotoa ni wa KIAFYA zaidi ulitakiwa utoke kwa professional doctor
 
Punguzeni uchafu majumbani mwenu tumieni vyoo vya kupumzika vya kukaa uchafu wenu unawafanya muone hivyo vyoo sio vizuri ila nimegundua hivyo vyoo vinataka watu wasafi kweli...
Kabisa, na Kama hakuna maji ya uhakika chimba shimo tu maana hata cha kuchuchumaa na kuflash kakikufai.
 
Nishashindwa choo cha kukaa nikikiona haja inakata labda kama nakimbiza mwenge
 
Kabisa, na Kama hakuna maji ya uhakika chimba shimo tu maana hata cha kuchuchumaa na kuflash kakikufai.
Na pia ukitumia choo cha India ambacho kinatumia maji kidogo kwenye ku flush na pia rangi hakibadiliki kwa muda mrefu sana choo kinakua kisafi muda wote...
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu.

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi. Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa.

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa.

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya.

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa;
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha Bawasiri
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia;
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo;
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile


View attachment 2886667
Fundi ujenzi na umeme, akishauri masuala ya afya!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Ushamba tu,ingekuwa hivyo wazungu,wanyarwada na jamii zingine wangeongoza kwa madhara hayo
Kwa ivobwanyaruanda mpaka bush wanakalia vyoo??

Alafu unachokipenda wewe nisipokipenda usiite ushamba kila mtu ana uhuru wake ☠☠☠
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu.

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi. Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa.

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa.

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya.

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa;
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha Bawasiri
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia;
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo;
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile


View attachment 2886667
Hivi ukishamaliza kujisaidia kwa kutumia choo cha kukaa huwa mnatawazaje?
 
Back
Top Bottom