Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Ushamba tu,ingekuwa hivyo wazungu,wanyarwada na jamii zingine wangeongoza kwa madhara hayoNdo zangu yaani vya kukaa nakwepa balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba tu,ingekuwa hivyo wazungu,wanyarwada na jamii zingine wangeongoza kwa madhara hayoNdo zangu yaani vya kukaa nakwepa balaa
Wanyarwanda wanafanyaje?Ushamba tu,ingekuwa hivyo wazungu,wanyarwada na jamii zingine wangeongoza kwa madhara hayo
Ni ushauri tu, siyo lazima kuufuata!Ushamba tu,ingekuwa hivyo wazungu,wanyarwada na jamii zingine wangeongoza kwa madhara hayo
Bawasiri kwani inakaa kwenye paji la uso hata ionekane na kila mtu?Ushamba tu,ingekuwa hivyo wazungu,wanyarwada na jamii zingine wangeongoza kwa madhara hayo
Labda hili naweza kuelewaNi ushauri tu, siyo lazima kuufuata!
Ni sawa na mtu akwambie inashauriwa kupata usingizi ukiwa umelala, halafu wewe ukaamua kusinzia ukiwa Wima!
Ni maamuzi yako wala siyo ujanja au ushamba
Wazungu noma sana na wa kuwa nao makini sana!Kwa mara ya kwanza leo naona wazungu wamefeli kwenye ubunifu wao.
Ila ni mazoea tu vyoo vyote ni sawa.
Itakuwa imeshalegea! KiasiMbona nikikalia mzigo hunitoka freshi tu bila usumbufu, hizi nadharia mtakuja kutuelekeza hadi mkao wa kunyandua.
Sasa kwa umri wako kaka angu si utavunjika nyongaUna pointi kubwa sana. Actually kuna tafiti zinazoonyesha kwamba kuna uhusiano kati ya kuongezeka kwa kansa ya utumbo na ile ya nyuma (colorectal and anal cancers) na kuanza kwa matumizi ya vyoo vya kukaa katika nchi za Kimagharibi japo hawajajua kama ni uhusiano wa kibahati tu au ni uhusiano wa kiusababishi (cause and effect).
Kwenye vyoo vya kukaa uchafu tumboni huwa hauishi na uchafu huo unaweza kusababisha matatizo makubwa (ikiwemo kansa) hasa ukioza na hatimaye kuathiri mfumo wa bakteria wazuri wa tumboni.
Vyoo vya kukaa pia visiposafishwa vizuri na mara kwa mara huwa na bakteria wengi hatarishi na hivyo ni rahisi kupata maambukizi ya kila aina. Hali ni hatari zaidi hasa kama ni choo cha umma.
Ni mazoea tu hakuna ukweli wowote.Wazungu noma sana na wa kuwa nao makini sana!
Hiyo haja ikiwa sealed vizuri kwa wanaume hata uwezo wa kurusha mkojo au....... Unaongezeka!
Huko nyuma pakiwa wazi ni changamoto hata ufanisi wa ......unapungua
Hukufika kwa Matajiri/Mabilionea.Safari zangu zote ughaibuni (USA included) sikuwahi kamwe kukiona choo cha kuchuchumaa. Kamwe sikukiona. Mnaopenda vya kuchuchumaa ni hiyari yenu lkn aliyetutangulia technology yuko vya kukaa. Vya kuchuchumaa ni upgrade toka vya shimo kijijini. Wanaleta maneno meengiiii, urongo mtupu.
Aisee. Kazi kweli kweli.Kuna Jamaa yangu àmeowa Mmarekani pure na watoto wake ni Wamarekani pure kitabia.
Sasa mbona ndio waliokuwa na Utapiamlo kutushinda kama kweli wana discipline? Kula kwa discipline ndio kukoje?Wazungu wanakula kwa discipline
Kama hujazoea au ndio mara ya kwanza. Kama umevizoea muone daktari wa afya kwani utakuwa na shida kwenye mfumo.Ni kwel, kwenye hvyo vyoo vya kukaa kuna wakat gogo huwa linagoma kutoka
Chura kubwa,ikweta ipo manzese ukikaa inafungukaje!!?Kwamba maumbile ya muafrika na watu wa asia ni tofauti kwenye kufunguka?
Sio lazima kwenye kila kitu nionekane mjanja