Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Kama siyo mlemavu sikushauri utumie choo cha kukaa nyumbani kwako

Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu.

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi. Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa.

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa.

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya.

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa;
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha Bawasiri
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia;
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo;
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile


View attachment 2886667
nice message
 
Ni ushamba wa waswahili wenzetu hawali vyakula vizito hivyo haja yao kama bata tu sasa sisi waswahili ugali wa uwele kwenye haja bila msaada wa kidole hupati choo na choo Cha kukaa kifuatacho bawasili tu.
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu.

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi. Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa.

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa.

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya.

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa;
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha Bawasiri
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia;
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo;
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile


View attachment 2886667
Ushauri wako ni mzuri na una nia njema japo hukuzingatia baadhi ya hali za watu.
Kwanza watu wazito kuchuchumaa na kujikamua hakuawfai.
Na kwa vile wewe ni fundi ujenzi nakushauri kuanzia sasa anza kujenga fremu mbele ya choo cha kukaa ya mtu kujishikilia wakati akifanya shughuli yake ili uzito usiende chini muda wote anaokuwa hapo.
 
Kiujumla squatting position is the overall best .kuchutama ndio asili ya amumbile.na ukizoea vya kukaa hata kijana siku ukikuta cha kuchuchumaa miguu inavibrate kama simu, ila cha kukaa nacho ukiwa mgonjwa kinasaidia sana,
 
Vitu vizuri kwako anasa..umezoea shida ww...
Choo cha kukaa ni kizuri sana unashusha mzigo comfortably...
Tafuta hela upate mambo mazuri
 
Mimi kama Fundi ujenzi na umeme pokea ushauri wangu.

Watu wengi sana wanaamini choo cha kukaa ni bora zaidi. Ukweli ni kwamba choo cha kukaa kilibuniwa kwa mara ya kwanza ili kukidhi mahitaji ya walemavu na wazee wasioweza kuchuchumaa.

Maumbile ya mwanadamu hususani mwafrika yanafunguka vizuri zaidi anapochuchumaa ili kujisaidia kuliko akikaa.

Sehemu za haja zimeumbiwa seal (mfuniko) ambao ili ufunguke ni lazima binadamu achuchumae ndipo swichi iliyopo kwenye ubongo iruhusu kusukuma uchafu (haja).

Hilo kufanyika kinyume chake ni sawa na kuulazimisha kukata kifuniko hicho kwa nguvu (seal)
Ambapo ni hatari sana kiafya.

Miongoni mwa madhara yanayoweza kumpata binadamu kwa kutumia choo cha kukaa;
1. Kukata au kulegeza seal kifuniko cha haja kubwa
2. Inaweza sababisha Bawasiri
3. Haimalizi haja hususani kwa watu wasiyokunywa maji mengi

Faida za kuchuchumaa wakati kujisaidia;
1. Mwili ndivyo ulivyoumbwa ndiyo maana makalio yaligawanywa pande mbili ili uchuchumae
2. Ni sehemu pekee ya kuupa mwili mazoezi
3. Ni kipimo cha kujitathimini afya ya uzito na mifupa (ukiweza kuchuchumaa na kunyanyuka kirahisi)
4. Humaliza haja yote

Kipi kifanyike ili kulinda muonekano mzuri wa choo;
1. Kwa watumiaji wa vyoo vya kuchuchumaa vipo vifuniko vizuri vinavyeleta muonekano mzuri chumbani
2. Kwa watumiaji wa choo cha kukaa, zipo bench au Vikanyagio vya pembeni ambavyo unaweza kuviweka kwenye choo chako pembeni ili kukusaidia kukanyaga na ukajisaidia pasipo kukaa! (Na vikanyagio hivyo unaweza kuvitoa wakati wowote ukihitaji maana ni vya kusogeza kama viti) ili muonekano wa chumba chako ubaki na hadhi ileile


View attachment 2886667
Sio hoja maana vyoo vya kukaa ni asilimia 85 dunia kote vinatumika... muhimu watu wazikatie usafi kwenye vyoo..

Ila nnyaa ikubane isubili sijui uchuchumae weee ulisikia wapi..! Ukishikwa na haja tii sheria bila shuruti utadhalilika..
 
Mkuu choo cha kukaa kipo kitambo, wafalme wa uingereza walikuwa na hadi mtu wakupasha choo joto kabla hajaenda kujisaidia kwa hiyo havikubuniwa kwaajili ya walemavu.

Ila una hoja Mkuu. Bawasiri inawasumbua watu wengi sasa sababu ya hivi vyoo na ulaji wao. Ukitumia hicho choo kula sana matunda na maji. Kifupi kula mlo kamili plus usafi wakutosha.
 
Back
Top Bottom