Kama Spika Ndugai ana uchungu na deni la taifa, awatoe bungeni Halima Mdee na wenzake kwani hawana chama

Kama Spika Ndugai ana uchungu na deni la taifa, awatoe bungeni Halima Mdee na wenzake kwani hawana chama

Hii nchi tajiri sana,,,Kama ningekua rais wabunge wangefanya kazi za wakuu wawilaya,madiwani si wapo,,,hakuna malupulupu,gari za m50 zinatosha ningeuza v8 zote na nyumba za kawaida m50 tu,,,hakuna waziri (wakurugenzi wangefanya hiyo kazi) serikali yangu ingewekeza Kwenye kilimo,utalii,ningeuza ndege zote na kununua trekta na vifaa vyakulimia kila kijiji,kuagiza dawa,mbolea nakuuza kwa bei rahis kwa wananchi,,,,ningetengeneza mazingira mazuri ya utalii,jiji la Dar lingejaa magorofa tu watu wapange kwa bei nafuu,,big mall kariakoo,,,mana inaingiza kodi sana pale,,,mishahara ya Teachers,Doctors na nurses ingekua mikubwa kuliko ya wabunge ningefuta wabunge wote wa viti maalum,na tamisemi,,,kodi,umeme,kwenda kutalii,nyumba zakupanga za serikali hela zote zingelipwa online,Cag angekagua mapato kila mwezi,,,na ufisad wa aina yoyote ungedhibitiwa kwani kungekua na mahakama zakuwashtaki
 
Hii nchi tajiri sana,,,Kama ningekua rais wabunge wangefanya kazi za wakuu wawilaya,madiwani si wapo,,,hakuna malupulupu,gari za m50 zinatosha ningeuza v8 zote na nyumba za kawaida m50 tu,,,hakuna waziri (wakurugenzi wangefanya hiyo kazi) serikali yangu ingewekeza Kwenye kilimo,utalii,ningeuza ndege zote na kununua trekta na vifaa vyakulimia kila kijiji,kuagiza dawa,mbolea nakuuza kwa bei rahis kwa wananchi,,,,ningetengeneza mazingira mazuri ya utalii,jiji la Dar lingejaa magorofa tu watu wapange kwa bei nafuu,,big mall kariakoo,,,mana inaingiza kodi sana pale,,,mishahara ya Teachers,Doctors na nurses ingekua mikubwa kuliko ya wabunge ningefuta wabunge wote wa viti maalum,na tamisemi,,,kodi,umeme,kwenda kutalii,nyumba zakupanga za serikali hela zote zingelipwa online,Cag angekagua mapato kila mwezi,,,na ufisad wa aina yoyote ungedhibitiwa kwani kungekua na mahakama zakuwashtaki
Ni wakati Muafaka kujiandaa kwa chaguzi zijazo. Wale watu muhimu na wagombea machachari huko CDM wekeni mkakati wa ukaribu na wananchi tupige chaguzi safi zilifute hili bunge la mamluki kwa za hayo mengine tutayapata.
 
Solution ni katiba mpya tu ndio nchi inaweza kuponywa na kutokuwa na viongozi wa hovyo na wahuni kama huyu Ndugai.

Huu ni mnara wa Babeli live bila chenga.
Wabango wanapenda longolongo nyingi wakati wanaja chanza cha matizo yote ni katiba mbovu
 
Ni wakati Muafaka kujiandaa kwa chaguzi zijazo. Wale watu muhimu na wagombea machachari huko CDM wekeni mkakati wa ukaribu na wananchi tupige chaguzi safi zilifute hili bunge la mamluki kwa za hayo mengine tutayapata.
Bila katiba mpya na tume huru nikupoteza muda mtapigwa mapanga hadi mchakalike
 
Acheni kuwaonea hao wabunge 19, Deni la nchi hii halijasababishwa na wao, hata huyo ndugai ni mnafiki
Hivi hujui wale wabunge wa Covid 19 wanalipwa kwa kodi zetu?
Kama kodi zetu zingekuwa zinatumika ipasavyo, huko kukopa kila mara kungekujaje?
 
Ni ushauri tu kwa Spika mzalendo Dr Job Ndugai.

Halima Mdee na wenzake 18 waliingizwa bungeni kinyemela bora hata hilo deni la kupambana na madhara ya Corona la Tsh 1.3 trillion liliwekwa hadharani na mh Rais Samia.

Maendeleo hayana vyama!
Okay
 
Back
Top Bottom