Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Jamaa katulisha tango aisee.Wakuu msameheni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa katulisha tango aisee.Wakuu msameheni
Au juisiWakuu, tuendelee kupambana tupate pesa halali.
View attachment 3063364
View attachment 3063365
D for Drink. Unaweza weka beer au maji.
İle ya honi ni nini?Wakuu, tuendelee kupambana tupate pesa halali.
View attachment 3063364
View attachment 3063365
D for Drink. Unaweza weka beer au maji.
Bila kusahau ndinga nyingi tunazoziita mpya hapa bongo Nissan Murano, Harrier, Vitz new model nk nyingi niliziona kwenye Prison BreakKuna ka ukweli fulani ila umeshindwa kuwasilisha. Magari yanaenda na technology ya wakati husika. Mfano IST nyingi hapa mjini ni za 2005! Ya 2023 ni wachache wanaiweza
Mad Max gari yako ina steering wheel ya design hiyo?Wakuu, tuendelee kupambana tupate pesa halali.
View attachment 3063364
View attachment 3063365
D for Drink. Unaweza weka beer au maji.
Kagusa watu kwenye mshono[emoji28]Masikini Mad Max watu wanamshukia Kama mwewe kwa kuhisi ameleta kitu kisicho na uhalisia kumbe ni umasikini wao ulioshindwa kuwaonesha dunia inaendaje [emoji24]
Masikitiko ni kuwa wanahisi ni choka mbaya kumbe sio kweli
Mimi Corolla yangu haina hizo button Ila nilishatoka kwenye kujitafuta Sasa nakula vya dingi
Mdogo wangu hawa watu wana ushamba mwingi sana.Hiyo ni steering ya racing cars. Sasa sijui unamaanisha watu tununue magari ya Formula One
Hadi uzi nikaukimbia.. Watu wana hasira 😂😂Masikini Mad Max watu wanamshukia Kama mwewe kwa kuhisi ameleta kitu kisicho na uhalisia kumbe ni umasikini wao ulioshindwa kuwaonesha dunia inaendaje 😭
Masikitiko ni kuwa wanahisi ni choka mbaya kumbe sio kweli
Mimi Corolla yangu haina hizo button Ila nilishatoka kwenye kujitafuta Sasa nakula vya dingi