Kama sukari mnaona ghali tumieni asali

Kama sukari mnaona ghali tumieni asali

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Si lazima sana watu wote kuhangaika na matumizi ya sukari. Kwanza sukari si nzuri ki afya. wataalamu wengi wameilaani sana.

Mimi nashauri badala ya kulia lia tuje na mbadala. Serikali haizalishi sukari siyo kazi yake hiyo. kama watu mnaona sukari ni ghari basi tumieni tu asali hiyo ni njema zaidi.
 
Mna minyoo nyie sio bure unajua jinsi asali ilivyo na usumbufu wa bei na kuisimamia
 
Back
Top Bottom