Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Karia and co. wataadhirika.Umeshamsikia Karia akiliongelea hili. Zaidi tff wanapigia tuu mstari vifungu vya sheria then kina haji na yanga wanaicheza ngoma
Karia and co. wataadhirika.
Michezo na siasa there is a fine line hapo!
Vipi kama hao wanaolumbana wote ni fools? Let them argue bhana.View attachment 2317877
Hivi kribuni Nd Wallace Karia wa TFF kaingia ligi ya kujibizana na "crazy" Haji Manara, msemaji wa Yanga.
Katika tafrani hili linaloenda kukua chizi huyu Manara sasa kawaingiza tope TFF.
Lakini kuna msemo maarufu kuwa "Never argue with fool, people might not notice the difference".
Na hao ndio Wallace Karia alipofikia na TFF yake.
Mimi sijamsikia Karia akiongelea hili.
Ha ha ha!Vipi kama hao wanaolumbana wote ni fools? Let them argue bhana.