Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Vijana wengi tumeaminiwa na kupewa madaraka makubwa sana lakini Madaraka hulevya mno, ukuu tunaopewa unatulewesha na kudhani wengine wasio na madaraka si chochote wala si lolote!
Je, kama nchi tufanyeje ili kuondoa hali hii?
Je, kama nchi tufanyeje ili kuondoa hali hii?