Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mfano Chadema ndani hakuna smooth Transition Hatuombi mabaya Mbowe akifa leo haieleweki nani atashika lakini si hivyo tu mbowe mwenyewe sauti hana hakuna smooth transition ya bunge viti maalum lilillopita na la sasa la akina Halima Mdee!!! akina halima mdee wamempindua Gadafi Mbowe na Elbashiri Tundu Lisu na Mugabe Godbless Lema na kuingia bungeni!!! upo hapo
Umelazimisha kutoa mifano irrelevant, matokeo yake mifano yako haichekeshi, haifikirishi na wala haina mashiko.