Kama Taifa tukubali kuna makosa yalifanyika, tujirekebishe yasijirudie, japokuwa ni ngumu kuondoa makovu yaliyopatikana

Kama Taifa tukubali kuna makosa yalifanyika, tujirekebishe yasijirudie, japokuwa ni ngumu kuondoa makovu yaliyopatikana

Mfano Chadema ndani hakuna smooth Transition Hatuombi mabaya Mbowe akifa leo haieleweki nani atashika lakini si hivyo tu mbowe mwenyewe sauti hana hakuna smooth transition ya bunge viti maalum lilillopita na la sasa la akina Halima Mdee!!! akina halima mdee wamempindua Gadafi Mbowe na Elbashiri Tundu Lisu na Mugabe Godbless Lema na kuingia bungeni!!! upo hapo

Umelazimisha kutoa mifano irrelevant, matokeo yake mifano yako haichekeshi, haifikirishi na wala haina mashiko.
 
Hakuna anayetaka kupendwa na wote acha upotoshaji, hoja ni unachukiwa kwa nini, na mifumo ya kutoa haki inafanyaje kazi chini yako. Mwenendo wa taasisi za kutoa haki tunaona kwa macho yetu ukiwa na hofu ya maamuzi ya mtu muovu.
Wahuni wanaomchukia ni sababu ya yule jamaa aliekimbilia kwa amsterdam
 
Umelazimisha kutoa mifano irrelevant, matokeo yake mifano yako haichekeshi, haifikirishi na wala haina mashiko.
Narudia Chadema kumefanyika mapunduzi Mnaoita Covid 19 wamepindua Mbowe Gadafi na wamepindua Tundu Lisu Hussein mbarak na wamepindua Godbless Lema Mugabe na wewe Tindio Saddam Hussein wakatinga Bungeni

Kazi kwenu
 
Utetezi uupeleke wapi na kwa nani, hapa ni kwenye majukwaa huru, watu wanaweka ukweli wa mambo hadharani, maana hatuna tena taasisi za kutoa haki zinazoaminika, kwani wanaaondesha unyama ndani ya nchi hii, ndio hao hao wanaosimamia taasisi za kutoa haki. Matokeo yake ni kuminywa kwa haki huku tukiwa tunaona kwa macho yetu, na wale wote wanaokemea wazi wazi unyama huo ndio wanashambuliwa hata kuuwawa, huku vyombo vya habari vikiwa vimezibwa mdomo.

Haya yanayoendelea ndani ya nchi hii ni matokeo ya kutawaliwa na mtu muovu, japo zinatumika njia nyingi za kinyama kufunika ukweli huo usionekana kwa wengi, na hata ukionekana kuwe na hofu ya kuusema.
😃MKUU TINDO nchi ambazo zinatii Sheria walau 85💯 zilifanyeje mpaka zikafika hapo.

Shida sio kufungwa Wala kuuliwa.

Shida Ni Jambo la ujumla kutizamwa KIBINAFSI.

CHANZO CHA YOTE SIO SERIKALI Bali UBONGO ZETU na Nini tunahitaji tumekabizi mikononi mwa wanasiasa.
 
Narudia Chadema kumefanyika mapunduzi Mnaoita Covid 19 wamepindua Mbowe Gadafi na wamepindua Tundu Lisu Hussein mbarak na wamepindua Godbless Lema Mugabe na wewe Tindio Saddam Hussein wakatinga Bungeni

Kazi kwenu

Nasema hivi, haichekeshi.
 
😃MKUU TINDO nchi ambazo zinatii Sheria walau 85💯 zilifanyeje mpaka zikafika hapo.

Shida sio kufungwa Wala kuuliwa.

Shida Ni Jambo la ujumla kutizamwa KIBINAFSI.

CHANZO CHA YOTE SIO SERIKALI Bali UBONGO ZETU na Nini tunahitaji tumekabizi mikononi mwa wanasiasa.

Hebu fafanua hapo jambo la jumla kutazamwa kibanafsi. Halafu toa mapendekezo nini kifanyike ambacho kitakuwa sio kukabidhi majitaji kwa wanasiasa. Maana mpaka sasa mambo yote ya nchi hii yote yanaamuliwa na wanasiasa na sio kada nyingine yoyote.
 
K
Hakuna aliyethibitisha hilo zaidi ya Lissu mwenyewe hakuna independent source yeyote iliyowahi kuthibitisha hilo zaidi ya Lissu kutamka .Alijibunia kuwa zilikuwa risasi 33 hakuna mtanzania aliyewahi ona ripoti ya daktari kuthibitisha hilo .Ni Lissu ndio huchonga mdomo kusema alipigwa risasi 33.Lakini kwa uzushi huo ndie aliongea na BBC nk kuwa Magufuli anaumwa bila ushahidi wa third party wa ripoti ya daktari nk


Mimi siamini kama Lissu alipigwa risasi sina ushahidi wa third party wa ripoti ya daktari yawezekana alipigwa marungu na mapanga alipofumaniwa na mke wa mtu ndio maana aligoma kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi
Kwahiyo hata kama sio 33 Ni 2. Wewe unaona sawa? Kwanini mtu akiwa CCM anakuwa mjinga kiasi hiki!!
 
Mkuu mleta mada jua tu kwamba nchi hii hivi sasa ni “hopeless case”. Iko katika mazingira ambayo walioshika madaraka kupitia nyenzo ya chama dola wameyadhibiti kikamilifu na hakuna kinachowatisha kusababisha walegeze msimamo.

Kilichotokea Afrika ya Kusini, ni kwamba zile “multinational enterprises” ambazo ndizo zinadhibiti uchumi wa nchi hiyo zilishtuka kuwa zinapoteza fursa kubwa za uwekezaji na biashara Afrika na duniani kwa ongezeko la vikwazo. Kilikuwa ndio kipindi utandawazi unapigiwa debe kwa nguvu sana. Halafu wakagundua hata viongozi wa ANC walikuwa tayari kwa muafaka utakaohakikisha uchumi wa nchi hauathiriki. Hivyo wakaona kukumbatia “apartheid” ili tu kulinda makaburu/weupe wa hali ya chini (working class) ni ujinga. Wakapiga deal na Mandela kukabidhi serikali kwa weusi na kuitisha “Truth and Reconciliation Commission”.

Hapa kwetu hakuna kinachowasukuma wanaoshika madaraka kutaka maelewano na mwananchi yeyote. Nguvu ya dola ni jibu tosha kwa kero yoyote. Na ujumbe wa mwisho unaotolewa ni kila mtu ahangaike na maisha yake na ya wategemezi wake. Hata masuala ya covid message ni hiyo hiyo. Watanzania hatuna kitu cha kupigania pamoja kinachojulikana kama “common interests” - maslahi ya pamoja. It’s everyone for himself and God for all of us.
 
Kuendelea kushupaza shingo kuwa hakuna makosa yaliyofanyika juu ya uvunjifu wa haki za binadamu hapa nchini kwetu ni kupoteza muda. Maana ni kutaka kujenga taswira isiyofaa kuwa mauaji, ukatili na uvunjifu wa sheria ni jambo la kawaida.

Tukubali kuwa kuna makosa makubwa yalifanywa na vyombo vya dola na yanaendelea kufanywa na vyombo vya dola. Maana mbali ya watu wanaojulikana kama Lissu, Saanane, Alphonse Mawazo bado kuna malalamiko makubwa juu ya ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na vyombo vya dola. Mbaya zaidi viongozi wanajua na wanafumba macho.

Tusishupaze shingo, tukubali makosa yalifanyika na tujirekebishe maana kukosolewa au kupata mawazo kinzani ni sehemu ya maisha. Hii nchi ni ya kwetu sote.

Lakini je nani atayafuta makovu yaliyopatikana na udhalimu waliofanyiwa akina Alphonse Mawazo, Tundu Lissu, Ben Saanane na wengine wengi ambao hawajulikani?
Hakuna uvunjifu wowoye wa haki za binadamu Tanzania. Hao uliowataja ni viherehere vyao yu vya kujifanya wajuaji na wajuaji wenzao wakawafanyia ya kuwafanyia.
 
Kuna uvunjifu wa haki za watu sana ndani nchi hii. Mf; wiki mbili zilizopita maeneo ya Tengeru kuna trafik aligombana na bodaboda yule boda akatoroka pikipiki ikabaki.

Kesho yake wale askari wamekuja wanapiga kila mwendesha pikipiki awe boda hasiwe boda unajua hujui wakawashika na kuwapeleka mahakamani baada ya hapo magereza ya kisongo wiki mbili.

Kwa tabia kama hizi, wananchi hawezi kuvipenda hivi vyombo vya dola wala kuvipa ushirikiano wa maana.
Tii sjeria bila shuruti, vinginevyo utapigwa tu
 
Tungepita njia anayopita Rais Mwinyi kuwaunganisha Wazanzibari nafikiri tungefika pazuri. Hii chuki iliyoasisiwa na CCM mpya au awamu ya tano italiangamiza Taifa.
Nadhani dawa ya moto ni moto
Ngoja ifike pande yao.
Watajua hawajui
 
Ushauri unawezekana kutekelezeka kama kuna uongozi lkn kama Kuna utawala wa kidikteta, hili haliwezekani.

Dikteta huwa anawachukulia wananchi kama vitu siyo watu. Anawaburuza anavyotaka.
DIKTETA kishafurushwa na mambo yake yalishazikwa naye pale Chato siku ya tarehe 26/3/ 21.

Ile kauli ya Rais SSH kuwa atakaa na viongozi wa vyama vya Siasa naamini inabeba maudhui ya maridhiano
 
kauli ya Rais SSH kuwa atakaa na viongozi wa vyama vya Siasa naamini inabeba maudhui ya maridhiano
Mama SSH naona naye kama hayuko serious. Amewaandikia chadema kwamba hoja wanazotaka kumpeoekea wampelekee John Shibuda (mwenyekiti wa baraza la vyama vya siasa) ambaye ndiye atazipeleka kwa SSH).

Why ? Mama yuko serious kweli??
 
Mama SSH naona naye kama hayuko serious. Amewaandikia chadema kwamba hoja wanazotaka kumpeoekea wampelekee John Shibuda (mwenyekiti wa baraza la vyama vya siasa) ambaye ndiye atazipeleka kwa SSH).

Why ? Mama yuko serious kweli??
At least kuna sehemu ya kuanzia. Let's appreciate kwa chochote kidogo kinachokuja. Mbona yule MWEHU hakupata kutoa hata huo mwongozo zaidi ya kumfuatulia risasi Lissu na kubomoa Bilicanas.

Tuchukue kilichopo mezani, halafu tuombe kingine
 
Back
Top Bottom