Kama Tanzania inataka kuwa neutral katika Gaza Crisis haina maana Sheikh Ponda anapaswa kupelekwa Mahakani

Kama Tanzania inataka kuwa neutral katika Gaza Crisis haina maana Sheikh Ponda anapaswa kupelekwa Mahakani

Ndio una uhuru ila huna uhuru wa kuhatalisha usalama wa nchi in the name of freedom

hili jambo la Palestine-Israel ukilibeba kiimani Lina leta chuki kubwa na mpasuko ndani ya jamii

jiulize vipi na wagaratia nao watake kufanya maandamano wakiwa na mabango Yao makuubwa I STAND WITH ISRAEL KILL ALL TERRORISTS wafia dini wa upande wa pili watafurahi? kama tulikua neutral kwenye RUSSIA-UKRAINE na hakuna maandamano yoyote WHY palestine? who are they? what so special about them?

kumbuka Kuna vijana wetu wawili wa Tanzania wenzetu blood of our own hatujui Hali zao harafu mpumbavu mmoja alie soma dini ikatafuna uwezo wake wa
1) reasoning
2) analysis
3) evaluate
aje atu alibie Amani na utulivu hii haikubari nchi yetu haina dini haiongozwi kwa misingi ya dini yoyote
hatutaki dini moja ijione ni bora kuliko nyingine
kama anaona ndugu zake wanaonewa why don't he just go to palestine akae Frontline akapigane na Israel kuliko kutupigia kelele mitaani kwetu

#HAMAS FREE OUR KIDS
Hiyo ndio tafsiri ya demokrasia. Wanaounga mkono mawaza "A" wanaandamana j,tatu na wale wanaounga mkono mawazo "B" wanaandamana J,tano. Tabu iko wapi?
Kifupi kuandamana ni kutoa hisia, dukuduku, mawazo yako na kujumuisha wale wote mnaoshabihiana kimawazo na kuyaeleza kwa jamii kwa njia ya mkusanyiko "maandamano".

Hii haimzuii mwingine mwenye mawazo tofauti na wewe kuuandamana na kukusanya wenye mawazo kama yeye na kuingia mtaani. Hapo tabu iko wapi? Ni uchanga wa Demokrasia tu. Siku moja tutafika huko.

Huko kwingine wenzetu makundi yote hayo mawili uliyoyataja yanaandamana na jioni yanarudi nyumbani na kula ugali kama kawaida. Kuwepo kwa bendera za Kipalestina leo mtaani na kesho bendera za ki- Israel ni sawa tu.
 
Hiyo ndio tafsiri ya demokrasia. Wanaounga mkono mawaza "A" wanaandamana j,tatu na wale wanaounga mkono mawazo "B" wanaandamana J,tano. Tabu iko wapi?
Kifupi kuandamana ni kutoa hisia, dukuduku, mawazo yako na kujumuisha wale wote mnaoshabihiana kimawazo na kuyaeleza kwa jamii kwa njia ya mkusanyiko "maandamano".

Hii haimzuii mwingine mwenye mawazo tofauti na wewe kuuandamana na kukusanya wenye mawazo kama yeye na kuingia mtaani. Hapo tabu iko wapi? Ni uchanga wa Demokrasia tu. Siku moja tutafika huko.

Huko kwingine wenzetu makundi yote hayo mawili uliyoyataja yanaandamana na jioni yanarudi nyumbani na kula ugali kama kawaida. Kuwepo kwa bendera za Kipalestina leo mtaani na kesho bendera za ki- Israel ni sawa tu.
Uko sawa kabisa mkuu na ndio maana harisi ya demokrasia Lakini unaongelea uko Europe and America sio uku Kwetu Africa
Tuanze na Mambo makuu ya kujiuliza?

1) Nini hasa umuhimu wa hayo maandamano Kwetu sisi WaTanzania pia kama wa Afrika?

2) kama tulikubali kubaki neutral kwenye migogoro ya nchi nyingine mf. Russia-ukraine why tuoneshe ku take side Kwa hawa?who are they to us as Nation?

3) fine tufanye maandamano yamekubalika je? Unazani pande zote mbili wakiamua kufanya ayo maandamano kutakua na uvumilivu wa kihisia Kwa pande zote mbili?

4) tuna vijana wetu wa 2 mikonon mwa Hao Hao tunao taka kuandamana kuwaunga mkono je kwako wewe ni sawa?
 
Uko sawa kabisa mkuu na ndio maana harisi ya demokrasia Lakini unaongelea uko Europe and America sio uku Kwetu Africa
Tuanze na Mambo makuu ya kujiuliza?

1) Nini hasa umuhimu wa hayo maandamano Kwetu sisi WaTanzania pia kama wa Afrika?

2) kama tulikubali kubaki neutral kwenye migogoro ya nchi nyingine mf. Russia-ukraine why tuoneshe ku take side Kwa hawa?who are they to us as Nation?

3) fine tufanye maandamano yamekubalika je? Unazani pande zote mbili wakiamua kufanya ayo maandamano kutakua na uvumilivu wa kihisia Kwa pande zote mbili?

4) tuna vijana wetu wa 2 mikonon mwa Hao Hao tunao taka kuandamana kuwaunga mkono je kwako wewe ni sawa?
1) Nia ya maandamano ni kuthamini utu wa mwanadamu na haki ya kuishi kwa raia wasio na hatia bila ya kujali kuwa wewe ni rangi gani, kabila gani na uko bara gani. Hapa wanaingia watoto wadogo, wazee, wanawake na watu wa kawaida tu ambao hawahusiki na mgogoro.

Masahihisho.
2) Maandamano ya watu binafsi sio msimamo wa nchi. Kama nchi ilikuwa Neutral itabakia kuwa hivyo.
3) Ninaimani kabisa kuwa amani itakuwepo. Kwa uzoefu wangu ndani ya TZ, vyombo vya usalama kuingilia waandamanaji na kutumia nguvu ndio panapochafuka amani.
4) Tofautisha kati ya kikundi cha wanamgambo wa HAMAS wanaokadiriwa kuwa kama Elfu 10, na wananchi wa GAZA zaidi ya milioni 1. Maandamano hayo kwa jinsi yalivyoelezwa yanahusu raia wa wapalestina sio HAMAS.
 
1) Nia ya maandamano ni kuthamini utu wa mwanadamu na haki ya kuishi kwa raia wasio na hatia bila ya kujali kuwa wewe ni rangi gani, kabila gani na uko bara gani. Hapa wanaingia watoto wadogo, wazee, wanawake na watu wa kawaida tu ambao hawahusiki na mgogoro.

Masahihisho.
2) Maandamano ya watu binafsi sio msimamo wa nchi. Kama nchi ilikuwa Neutral itabakia kuwa hivyo.
3) Ninaimani kabisa kuwa imani itakuwepo. Kwa uzoefu wangu ndani ya TZ, huwa ni vyombo vya usalama kuingilia waandamanaji na kutumia nguvu.
4) Tofautisha kati ya kikundi cha wanamgambo wa HAMAS wanaokadiriwa kuwa kama Elfu 10, na wananchi wa GAZA zaidi ya milioni 1. Maandamano hayo kwa jinsi yalivyoelezwa yanahusu raia wa wapalestina sio HAMAS.
Vizuri kama tunafanya maandamano ya kutathimini utu wa mwanadamu na haki ya kuishi raia wasio na hatia lini tulifanya hiyo tathimini kuonyesha uzalendo na uAfrika wetu kwa jamii za watu wa Congo na sudani ambao ni jilani zetu weusi wenzetu Ila pia kuna namna sisi WaTanzania tunaathiriwa na vita vyao?
kumbe kuna watu bora (A class) ambao wenyewe ni special? mpaka wanastahili kufanyiwa maandamano na wengine kuuwawa kwa watoto kinamama na wazee ni sawa?

2) Tukubari tukatae hili jambo tumeliweka mrengo wa kidini tuache unafki wa oooh ubinadama na polojo nyingine hapa kinacho endelea ni UDINI tu
Hakuna kitu kibaya kinacho weza kuvuluga umoja wa kitaifa kama IMANI ni sawa na cheche za Moto kwenye nyasi kavu
 
Back
Top Bottom