Kama tatizo ni uharamia baharini kwani tunaweza kuchukua hatua iwe Tanzania pekee?

Kama tatizo ni uharamia baharini kwani tunaweza kuchukua hatua iwe Tanzania pekee?

DATA ZO
Nilimwomba aziweke hadharani za kwake zinazoambinika. Jibu lake ni kuwa: hata wewe unaweza kuzipata!.

Kwa maana nyingine ni kuwa anakataa data zilizotolewa lakini hana za kwake kuzipinga hizo. Buku 7 oyeeeeeeA MDUDE? AKILI NYUMA KWELI NYIE
 
Huelewi nini Sasa mdude!!?

Nakupa nadharia;-

1.Mkataba was dp world wabia wa mkataba huo wanapiga Hela Kwa kuongeza gharama za kusafirisha mizigo bandarini!!

2.Bandari ya Dar inahujumiwa Ili ikose mapato Kwa nchi na kuinua bandari nyingine zilizopo ukanda wa maziwa makuu na pwani,yaani Bandari nyingine zipate wateja yajwetu ikimbiwe na wateja!!

3.Wameamua kumhujumu mama Ili akose mvuto wa kisiasa hapo 2025,yaani political damage kwake kuelekea 2025!

Hizo sababu za uharamia ni za mchongo coz tangu zamani uharamia ulikuwepo kama kawaida na gharama haikua hivyo!
Wameamua kumhujumu mama kwa mkataba aliosaini mwenyewe? Si ni huyu mqma aliowaita TEC ikulu na kuwapiga vijembe na Mrisho Mpoto wake wakati wa utiaji saini wa mkataba mdogo? Mama anahujumiwa kweli? Una akili timamu?
 
Wameamua kumhujumu mama kwa mkataba aliosaini mwenyewe? Si ni huyu mqma aliowaita TEC ikulu na kuwapiga vijembe na Mrisho Mpoto wake wakati wa utiaji saini wa mkataba mdogo? Mama anahujumiwa kweli? Una akili timamu?
Huwezi elewa!

Kwani huo mkataba alikurupuka mwenyewe au alishauriwa aingie!!?

Unafikiri aliamka asubuhi akawapigia dp world na kuwaambia njooni tusaini mkataba!!?

Kuna Elite wa mfumo ndio walimuingiza kingi halafu baadae Waka likisha taarifa ili achafuke na sasa anachafuka Tena hadi 2025 kupitia hiyo Bandari na mkataba husika!!

Kati ya jambo litakalotumika kuzua taharuki kwenye mchakato was urais ndani ya chama hapo mwakani ni hilo,huo mkataba haukuvuja kwa bahati mbaya !subiri mtaona!!!
 
Back
Top Bottom