Kama tatizo ni uharamia baharini kwani tunaweza kuchukua hatua iwe Tanzania pekee?

DATA ZO
Nilimwomba aziweke hadharani za kwake zinazoambinika. Jibu lake ni kuwa: hata wewe unaweza kuzipata!.

Kwa maana nyingine ni kuwa anakataa data zilizotolewa lakini hana za kwake kuzipinga hizo. Buku 7 oyeeeeeeA MDUDE? AKILI NYUMA KWELI NYIE
 
Wameamua kumhujumu mama kwa mkataba aliosaini mwenyewe? Si ni huyu mqma aliowaita TEC ikulu na kuwapiga vijembe na Mrisho Mpoto wake wakati wa utiaji saini wa mkataba mdogo? Mama anahujumiwa kweli? Una akili timamu?
 
Wameamua kumhujumu mama kwa mkataba aliosaini mwenyewe? Si ni huyu mqma aliowaita TEC ikulu na kuwapiga vijembe na Mrisho Mpoto wake wakati wa utiaji saini wa mkataba mdogo? Mama anahujumiwa kweli? Una akili timamu?
Huwezi elewa!

Kwani huo mkataba alikurupuka mwenyewe au alishauriwa aingie!!?

Unafikiri aliamka asubuhi akawapigia dp world na kuwaambia njooni tusaini mkataba!!?

Kuna Elite wa mfumo ndio walimuingiza kingi halafu baadae Waka likisha taarifa ili achafuke na sasa anachafuka Tena hadi 2025 kupitia hiyo Bandari na mkataba husika!!

Kati ya jambo litakalotumika kuzua taharuki kwenye mchakato was urais ndani ya chama hapo mwakani ni hilo,huo mkataba haukuvuja kwa bahati mbaya !subiri mtaona!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…