Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarabu mie nilikuwa niko mbali na pikipiki nikapanda najua home uwakika kumbe mara mia AzamNimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran Nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani?
TBC 2 NDIO WANAONYESHA WORLD CUP Sasa Kaa hapo usilipe kifurushiNimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran Nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani? Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi
Kwani wewe hapo unaaangalia?TBC 2 NDIO WANAONYESHA WORLD CUP Sasa Kaa hapo usilipe kifurushi
Umeme hakuna umeenda zake. Kwanza sipendagi mpira mie female
Yan nimekereka sana hata mimi mpaka nikawaza ivi hakuna channel nyingine kwanini lakin hawakupewa Azam hii kazi? Inakera na inaboa sana ndo maana soka la bongo ni utumbo mtupunimetoka mbio mbio niangalie mechi ya england na iran !nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli,tbc ina chanel ngapi kwani? kama mlijua hamuwez kuonyesha mechi zote mngeacha tu azam wapige kazi
Mwenye matatizo ni wewe uliyeamini wahuni.Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya england na iran !nakuta wanaonyesha sijui vinini! yaani mnachosha kwakweli,tbc ina chanel ngapi kwani? kama mlijua hamuwez kuonyesha mechi zote mngeacha tu azam wapige kazi
Kumbe wewe ni female?Umeme hakuna umeenda zake .Kwanza sipendagi mpira mie female
Wamechaguliwa na nani? FIFA wanatoa haki za kurusha hii michezo yote moja kwa moja bure kwa vyombo vya habari vya taifa kama TBC bure nchi wanachama zote.Inavyoelekea wamechaguliwa games za kuonyesha Mkuu.
Kwa nini wanarusha mechi 28? Mechi zote 64 wamepewa bure na FIFA.Toka jana nilivyogundua wataonyesha mechi 28 tu na kati ya hizo hakuna hata moja ya Argentina haraka sana nikalipia DSTV.
Mimi pia nimefanya kama wewe MkuuToka jana nilivyogundua wataonyesha mechi 28 tu na kati ya hizo hakuna hata moja ya Argentina haraka sana nikalipia DSTV.