Kama TBC mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote za Kombe la Dunia mngewaachia wanaoweza!

Kama TBC mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote za Kombe la Dunia mngewaachia wanaoweza!

20221120_140518.jpg
20221120_140521.jpg
 
Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran nakuta wanaonyesha sijui vinini! Yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani?

Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi.
hawawezi na hawatakaa waweze
 
Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran nakuta wanaonyesha sijui vinini! Yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani?

Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi.
Mkuu hiyo TBC ni bora tu usiiangalie.. Quality mbovuu mnoo.

Wana mechi 32 tu so nyingine hutaziona.
 
Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran nakuta wanaonyesha sijui vinini! Yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani?

Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi.
Hv TBC Wana HD kwl
 
Back
Top Bottom