Najaf
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,505
- 2,393
NILIJUA NIPO PEKE YANGUSikumbuki ni mwaka gabi nilitazama TBC, huenda tokea wakati huo ikiitwa TVT...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NILIJUA NIPO PEKE YANGUSikumbuki ni mwaka gabi nilitazama TBC, huenda tokea wakati huo ikiitwa TVT...
hawawezi na hawatakaa wawezeNimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran nakuta wanaonyesha sijui vinini! Yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani?
Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi.
Mkuu hiyo TBC ni bora tu usiiangalie.. Quality mbovuu mnoo.Nimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran nakuta wanaonyesha sijui vinini! Yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani?
Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi.
Hv TBC Wana HD kwlNimetoka mbio mbio niangalie mechi ya England na Iran nakuta wanaonyesha sijui vinini! Yaani mnachosha kwakweli, TBC ina chanel ngapi kwani?
Kama mlijua hamuwezi kuonyesha mechi zote mngeacha tu Azam wapige kazi.