Kama Tishio ni Lissu, Mbowe angetafuta Mhusika mwingine agombee uenyekiti kisha amuunge Mkono, kwa usalama wa Chama

Kama Tishio ni Lissu, Mbowe angetafuta Mhusika mwingine agombee uenyekiti kisha amuunge Mkono, kwa usalama wa Chama

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Sabato Njema!

Kambi ya Mbowe ingekaa ikatulia, ikatafakari, ikahesabu kila hesabu na chenchi zake. Hakika kama wangefanya hivi wasingemruhusu Mbowe Agombee tena.

Ningekuwa kwenye hiyo Kambi, ningewashauri; "Tunahitaji Kambi yetu iendelee kuongoza. Sisi ni wamoja. Nasema uongo?"

"Mbowe tayari kaongoza kwa miaka 21 sasa, angeweza kuendelea na sifa za kuendelea anazo, na Katiba inampa fursa hiyo. Lakini vipi, je chama Kitabaki kilivyo baada ya yeye kugombea?

Tunajua Chama ni wanachama, chama ni watu. Sio Sisi tuu tuliomo humu kwenye hiki chumba. Wapo watu Nje, wanachama wetu na wasio na vyama, wapo Diaspora, je watatuunga Mkono.

Vipi mitazamo Yao juu yetu itaimarika maradufu au tutainyong'onyeza? Tunahitaji akiba ndogo ya uaminifu wa watu kuhusu chama chetu ilindwe, na iboreshwe. Hao ndio wateja wetu. Kuangusha Imani ya wanachama wetu ni kuangusha wateja wetu. Nafikiri hatupo tayari kuona chama chetu kikifa mapema hivi mbele ya macho yetu tungali tu hai na wenye nguvu hivi.

Tunahitaji watu wengi. Kuna waliopoteza. Hao tunatakiwa tuwathibitishie walifanya uamuzi usiosahihi kupoteza tumaini na chama chetu. Hii inatupa Kazi hapa tumtafute mtu ambaye ata-meet mahitaji ya watu na wanachama wetu.

Mshindani wetu Lisu tunamfahamu. Hatuna hofu naye kuwa atatushinda, tunajua Hilo haliwezi kutokea hata kwa kujidanganya.
Lakini Hatuwezi kumshindanisha Kaka Yetu Mbowe na Lisu.
Tutawapa watu hoja na nguvu ya kutupotezea wanachama.

Mnafahamu, tulipata hasara kubwa ya viongozi wetu wengi kuhamia CCM kwa mahasimu wetu Wakubwa. Sipendi Hili, kukumbuka maumivu ya wanachama wetu waliolipa gharama za maumivu makali, kwa kutekwa na kuuawa na watu wasiojulikana wangali wameacha majeraha yaliyogoma kukauka katika familia zao na wanachama waminifu WA chama chetu.

Tufikiri kwa HEKIMA tujue Nje ya Mbowe ni Nani atuwakilishe kuchukua uenyekiti. Huyo tutamuunga Mkono. Kama ambavyo tumekuwa tukifanya hivyo kwa Mbowe.

Mtu huyo lazima awe na rekodi Njema. Hata kama kwa Siri ni mbaya lakini iwe anauzika kwa Wanachama.

Chama chetu kinahitaji Kukua zaidi kwa Kupata hiki kizazi cha Gen Z.

Lakini pia Kuna watu Mashuhuri huko Mtandaoni tuliokuwa nao lazima tuiteke Imani Yao. Tunahitaji Watu Wakuu!
Hatupaswi kupuuza yeyote ambaye ni potential.

Hii tutaita Demokrasia na Uwajibikaji kama chama chetu kinavyofahamika. Unajua, tukisema Mzee Mbowe aendelee tunawapa Mashaka makubwa wanachama wetu, hasa wale wenye akili zinazofikiri mpaka mwisho tofauti na wale wenye akili zinazofikiri kisha kuishia njiani.

Mbowe atashinda lakini vipi sasa baada ya kushinda nini kitatokea?
Mwakani ni uchaguzi.

CCM watasema nini? Hatuhitaji kuongeza idadi ya maadui ilhali tulionao wanatutosha.

Tunahitaji kuongeza zaidi watu na sio kuwapunguza kwa namna hii isiyofaa.

Hata kama tutakuwa waongo haipaswi uongo wetu uwe wazi namna hii. Mpaka vipofu wauone ulaghai wetu.

Uongo wetu inatakiwa uonekane Kweli hata kwa WATU Werevu. Hiyo ndio Siasa yaani Uongo Uliokubalika. Tukishindwa Jambo kama hili hiyo itamaanisha hatufai kuitwa wanasiasa na kuwa viongozi wa chama cha siasa. Huyo mtu ni Nani ndugu Wajumbe?

Tusijeleta Kiburi cha Fulani aliondoka, hakuna kilichotokea, Fulani akaondoka hivyohivyo hakuna kilichotokea. Hapana hatutakiwi kupoteza watu wetu kirahisi hivi. Watu tuliowaandaa wenyewe kwa Kipindi kirefu.

Wenzetu CCM wao watu wao wanajua namna ya kuwalinda, wale watu potential hawakubali kirahisi kuwaachia. Kwa nini Sisi tuwaachie?

Mnajua ilivyokazi kumuuandaa mtu kuwa kiongozi. Na sio Kazi ya siku moja au Mwaka Mmoja.

Acha nikale Makande kidogo alafu nitarudi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es Salaam
 
Hv Chadema ni chama cha familia?kwann hamtaki mtu mwingine kushika madaraka ni demokrasia gani mnayoiabudu?au turejee kwenye misingi ya uanzishwaji wa chama kwamba ilikuwa ni Chaga Development Manifesto mpoje nyie watu
 
Sabato Njema!

Kambi ya Mbowe ingekaa ikatulia, ikatafakari, ikahesabu kila hesabu na chenchi zake. Hakika kama wangefanya hivi wasingemruhusu Mbowe Agombee tena.

Ningekuwa kwenye hiyo Kambi, ningewashauri; "Tunahitaji Kambi yetu iendelee kuongoza. Sisi ni wamoja. Nasema uongo?"

"Mbowe tayari kaongoza kwa miaka 21 sasa, angeweza kuendelea na sifa za kuendelea anazo, na Katiba inampa fursa hiyo. Lakini vipi, je chama Kitabaki kilivyo baada ya yeye kugombea?

Tunajua Chama ni wanachama, chama ni watu. Sio Sisi tuu tuliomo humu kwenye hiki chumba. Wapo watu Nje, wanachama wetu na wasio na vyama, wapo Diaspora, je watatuunga Mkono.

Vipi mitazamo Yao juu yetu itaimarika maradufu au tutainyong'onyeza? Tunahitaji akiba ndogo ya uaminifu wa watu kuhusu chama chetu ilindwe, na iboreshwe. Hao ndio wateja wetu. Kuangusha Imani ya wanachama wetu ni kuangusha wateja wetu. Nafikiri hatupo tayari kuona chama chetu kikifa mapema hivi mbele ya macho yetu tungali tu hai na wenye nguvu hivi.

Tunahitaji watu wengi. Kuna waliopoteza. Hao tunatakiwa tuwathibitishie walifanya uamuzi usiosahihi kupoteza tumaini na chama chetu. Hii inatupa Kazi hapa tumtafute mtu ambaye ata-meet mahitaji ya watu na wanachama wetu.

Mshindani wetu Lisu tunamfahamu. Hatuna hofu naye kuwa atatushinda, tunajua Hilo haliwezi kutokea hata kwa kujidanganya.
Lakini Hatuwezi kumshindanisha Kaka Yetu Mbowe na Lisu.
Tutawapa watu hoja na nguvu ya kutupotezea wanachama.

Mnafahamu, tulipata hasara kubwa ya viongozi wetu wengi kuhamia CCM kwa mahasimu wetu Wakubwa. Sipendi Hili, kukumbuka maumivu ya wanachama wetu waliolipa gharama za maumivu makali, kwa kutekwa na kuuawa na watu wasiojulikana wangali wameacha majeraha yaliyogoma kukauka katika familia zao na wanachama waminifu WA chama chetu.

Tufikiri kwa HEKIMA tujue Nje ya Mbowe ni Nani atuwakilishe kuchukua uenyekiti. Huyo tutamuunga Mkono. Kama ambavyo tumekuwa tukifanya hivyo kwa Mbowe.

Mtu huyo lazima awe na rekodi Njema. Hata kama kwa Siri ni mbaya lakini iwe anauzika kwa Wanachama.

Chama chetu kinahitaji Kukua zaidi kwa Kupata hiki kizazi cha Gen Z.

Lakini pia Kuna watu Mashuhuri huko Mtandaoni tuliokuwa nao lazima tuiteke Imani Yao. Tunahitaji Watu Wakuu!
Hatupaswi kupuuza yeyote ambaye ni potential.

Hii tutaita Demokrasia na Uwajibikaji kama chama chetu kinavyofahamika. Unajua, tukisema Mzee Mbowe aendelee tunawapa Mashaka makubwa wanachama wetu, hasa wale wenye akili zinazofikiri mpaka mwisho tofauti na wale wenye akili zinazofikiri kisha kuishia njiani.

Mbowe atashinda lakini vipi sasa baada ya kushinda nini kitatokea?
Mwakani ni uchaguzi.

CCM watasema nini? Hatuhitaji kuongeza idadi ya maadui ilhali tulionao wanatutosha.

Tunahitaji kuongeza zaidi watu na sio kuwapunguza kwa namna hii isiyofaa.

Hata kama tutakuwa waongo haipaswi uongo wetu uwe wazi namna hii. Mpaka vipofu wauone ulaghai wetu.

Uongo wetu inatakiwa uonekane Kweli hata kwa WATU Werevu. Hiyo ndio Siasa yaani Uongo Uliokubalika. Tukishindwa Jambo kama hili hiyo itamaanisha hatufai kuitwa wanasiasa na kuwa viongozi wa chama cha siasa. Huyo mtu ni Nani ndugu Wajumbe?

Tusijeleta Kiburi cha Fulani aliondoka, hakuna kilichotokea, Fulani akaondoka hivyohivyo hakuna kilichotokea. Hapana hatutakiwi kupoteza watu wetu kirahisi hivi. Watu tuliowaandaa wenyewe kwa Kipindi kirefu.

Wenzetu CCM wao watu wao wanajua namna ya kuwalinda, wale watu potential hawakubali kirahisi kuwaachia. Kwa nini Sisi tuwaachie?

Mnajua ilivyokazi kumuuandaa mtu kuwa kiongozi. Na sio Kazi ya siku moja au Mwaka Mmoja.

Acha nikale Makande kidogo alafu nitarudi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es Salaam
hakuna kitisho wala hatari yoyote dhidi ya uhai na ustawi wa Chadema kwenye demokrasia ya Tanzania.

Lakini ni muhimu sana tu kwa Chadema kua makini na wimbi la mambwenyenye ya magharibi yanayotaka kujipenyeza kinyemela na kuvuruga misingi na malengo ya kuanzishwa kwa Chadema.

Ni muhimu kuwadhibiti vibaraka ili wasiweze kuifanya Chadema kua na sura ya hifadhi ya ukoloni mambo leo Tanzania 🐒
 
Shida wametanguliza mihemko,wangemwachia tu Lisu ambaye Kwa sasa anaonyesha uungwaji mkono na wanachadema ili kuongeza Imani Kwa wanachadema wengi
 
Washauli wa Mbowe akili zao ndogo sana hata yeye mwenye we, ameshindwa kuzichanga vzr karata, angeweza hata kumwambia hehe agombee uwenyekiti, ache tofauti zao,kwa ajili ya masilai ya CHAMA, tamaa mbaya,na ubinafsi
 
Kana Mbowe ni tishio, kwa nini Lissu hakutafuta mtu amuunge mkono ili Mbowe ashindwe?
 
Washauli wa Mbowe akili zao ndogo sana hata yeye mwenye we, ameshindwa kuzichanga vzr karata, angeweza hata kumwambia hehe agombee uwenyekiti, ache tofauti zao,kwa ajili ya masilai ya CHAMA, tamaa mbaya,na ubinafsi

Sijui kwa nini wameamua kumdhalilisha hivi
 
Shida wametanguliza mihemko,wangemwachia tu Lisu ambaye Kwa sasa anaonyesha uungwaji mkono na wanachadema ili kuongeza Imani Kwa wanachadema wengi

Hata wasingemuachia Lisu.
Huu uchaguzi umekuwa Hot sio kwa sababu Lisu anagombea Bali ni kwa sababu Mbowe anataka kuendelea kuongoza
 
Kwa hiyo mkuu unataka kusema mwamba amechokwa!?

Haishi Maneno na Sera za chama chake.
Mtu anataka Katiba mpya, mtu anataka CCM itoke madarakani wakati yeye huu mwaka wa 21 yupo madarakani.
Logically hiyo haipo sawasawa
 
Hudhani kwamba watampiga tafu,CCM sio wa kuwaamini

CHADEMA haitoboi labda wawe wamepanga mpango wa pamoja na Lisu. Yaani Mbowe na Lisu.

Ila kwa Hali ilivyo, wanachama wa kawaida wanasuburi hiyo January 21 wajue kama wanazika au vipi
 
Sabato Njema!

Kambi ya Mbowe ingekaa ikatulia, ikatafakari, ikahesabu kila hesabu na chenchi zake. Hakika kama wangefanya hivi wasingemruhusu Mbowe Agombee tena.

Ningekuwa kwenye hiyo Kambi, ningewashauri; "Tunahitaji Kambi yetu iendelee kuongoza. Sisi ni wamoja. Nasema uongo?"

"Mbowe tayari kaongoza kwa miaka 21 sasa, angeweza kuendelea na sifa za kuendelea anazo, na Katiba inampa fursa hiyo. Lakini vipi, je chama Kitabaki kilivyo baada ya yeye kugombea?

Tunajua Chama ni wanachama, chama ni watu. Sio Sisi tuu tuliomo humu kwenye hiki chumba. Wapo watu Nje, wanachama wetu na wasio na vyama, wapo Diaspora, je watatuunga Mkono.

Vipi mitazamo Yao juu yetu itaimarika maradufu au tutainyong'onyeza? Tunahitaji akiba ndogo ya uaminifu wa watu kuhusu chama chetu ilindwe, na iboreshwe. Hao ndio wateja wetu. Kuangusha Imani ya wanachama wetu ni kuangusha wateja wetu. Nafikiri hatupo tayari kuona chama chetu kikifa mapema hivi mbele ya macho yetu tungali tu hai na wenye nguvu hivi.

Tunahitaji watu wengi. Kuna waliopoteza. Hao tunatakiwa tuwathibitishie walifanya uamuzi usiosahihi kupoteza tumaini na chama chetu. Hii inatupa Kazi hapa tumtafute mtu ambaye ata-meet mahitaji ya watu na wanachama wetu.

Mshindani wetu Lisu tunamfahamu. Hatuna hofu naye kuwa atatushinda, tunajua Hilo haliwezi kutokea hata kwa kujidanganya.
Lakini Hatuwezi kumshindanisha Kaka Yetu Mbowe na Lisu.
Tutawapa watu hoja na nguvu ya kutupotezea wanachama.

Mnafahamu, tulipata hasara kubwa ya viongozi wetu wengi kuhamia CCM kwa mahasimu wetu Wakubwa. Sipendi Hili, kukumbuka maumivu ya wanachama wetu waliolipa gharama za maumivu makali, kwa kutekwa na kuuawa na watu wasiojulikana wangali wameacha majeraha yaliyogoma kukauka katika familia zao na wanachama waminifu WA chama chetu.

Tufikiri kwa HEKIMA tujue Nje ya Mbowe ni Nani atuwakilishe kuchukua uenyekiti. Huyo tutamuunga Mkono. Kama ambavyo tumekuwa tukifanya hivyo kwa Mbowe.

Mtu huyo lazima awe na rekodi Njema. Hata kama kwa Siri ni mbaya lakini iwe anauzika kwa Wanachama.

Chama chetu kinahitaji Kukua zaidi kwa Kupata hiki kizazi cha Gen Z.

Lakini pia Kuna watu Mashuhuri huko Mtandaoni tuliokuwa nao lazima tuiteke Imani Yao. Tunahitaji Watu Wakuu!
Hatupaswi kupuuza yeyote ambaye ni potential.

Hii tutaita Demokrasia na Uwajibikaji kama chama chetu kinavyofahamika. Unajua, tukisema Mzee Mbowe aendelee tunawapa Mashaka makubwa wanachama wetu, hasa wale wenye akili zinazofikiri mpaka mwisho tofauti na wale wenye akili zinazofikiri kisha kuishia njiani.

Mbowe atashinda lakini vipi sasa baada ya kushinda nini kitatokea?
Mwakani ni uchaguzi.

CCM watasema nini? Hatuhitaji kuongeza idadi ya maadui ilhali tulionao wanatutosha.

Tunahitaji kuongeza zaidi watu na sio kuwapunguza kwa namna hii isiyofaa.

Hata kama tutakuwa waongo haipaswi uongo wetu uwe wazi namna hii. Mpaka vipofu wauone ulaghai wetu.

Uongo wetu inatakiwa uonekane Kweli hata kwa WATU Werevu. Hiyo ndio Siasa yaani Uongo Uliokubalika. Tukishindwa Jambo kama hili hiyo itamaanisha hatufai kuitwa wanasiasa na kuwa viongozi wa chama cha siasa. Huyo mtu ni Nani ndugu Wajumbe?

Tusijeleta Kiburi cha Fulani aliondoka, hakuna kilichotokea, Fulani akaondoka hivyohivyo hakuna kilichotokea. Hapana hatutakiwi kupoteza watu wetu kirahisi hivi. Watu tuliowaandaa wenyewe kwa Kipindi kirefu.

Wenzetu CCM wao watu wao wanajua namna ya kuwalinda, wale watu potential hawakubali kirahisi kuwaachia. Kwa nini Sisi tuwaachie?

Mnajua ilivyokazi kumuuandaa mtu kuwa kiongozi. Na sio Kazi ya siku moja au Mwaka Mmoja.

Acha nikale Makande kidogo alafu nitarudi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es Salaam
Kwanza kabisa:
1. Lisu na Mbowe wakishindanishwa - Wakalishwe kikao cha kamati yao ya NEC na kuambiwa kuwa wao siyo maadui. Anayeshindwa atamsaidia aliyeshindwa katika kujenga chama. Maslai ya aliyenshindwa yatakuwepo kama kawaida na heshima yake.
2. Mgombea anatia nia - na siyo wanachama kumlazimisha mtu atie nia. Confidence naa uwezo unamfanya mtu atie nia. Mtia nia yeyote apewe nafasi ya kugombea, ili mradi awe mwanachama wa chama.
3. Mdahalo ni kitu cha umuhimu sana kwenye uchaguzi. Stage hii inafanya mumjue mtu vizuri uzungumzaji wake, point, knowledge yake na anavyowajua watu atakaowaongozi na hali ya nchi lilivyo.
4. Kuna watu wanasema mtu kusema ukweli ni usaliti, hapana, kama kasema ukweli basi siyo usaliti. Msaliti ni yule anayetoa siri ambazo zinahusu strategy ya Chama. Lisu sijaona popote pale aliposaliti au kutoa siri kama hizo.
5. Uchaguzi uheshiniwe na uwe wa halali, kama Lisu akishindwa kihali kwa nini aondoke Chamani? Ni wale tu ambao huwa hawarishiki ndiyo uhama chama. Kama Lowasa alihama chama kwa sababu JK alikata jina lake kwa kuja na kikaratasi mfukoni. Uchaguzi wa kweli mnapata mtu safi na mwenye uwezo.
 
Kwanza kabisa:
1. Lisu na Mbowe wakishindanishwa - Wakalishwe kikao cha kamati yao ya NEC na kuambiwa kuwa wao siyo maadui. Anayeshindwa atamsaidia aliyeshindwa katika kujenga chama. Maslai ya aliyenshindwa yatakuwepo kama kawaida na heshima yake.
2. Mgombea anatia nia - na siyo wanachama kumlazimisha mtu atie nia. Confidence naa uwezo unamfanya mtu atie nia. Mtia nia yeyote apewe nafasi ya kugombea, ili mradi awe mwanachama wa chama.
3. Mdahalo ni kitu cha umuhimu sana kwenye uchaguzi. Stage hii inafanya mumjue mtu vizuri uzungumzaji wake, point, knowledge yake na anavyowajua watu atakaowaongozi na hali ya nchi lilivyo.
4. Kuna watu wanasema mtu kusema ukweli ni usaliti, hapana, kama kasema ukweli basi siyo usaliti. Msaliti ni yule anayetoa siri ambazo zinahusu strategy ya Chama. Lisu sijaona popote pale aliposaliti au kutoa siri kama hizo.
5. Uchaguzi uheshiniwe na uwe wa halali, kama Lisu akishindwa kihali kwa nini aondoke Chamani? Ni wale tu ambao huwa hawarishiki ndiyo uhama chama. Kama Lowasa alihama chama kwa sababu JK alikata jina lake kwa kuja na kikaratasi mfukoni. Uchaguzi wa kweli mnapata mtu safi na mwenye uwezo.

Sahihi Kabisa.
 
Back
Top Bottom