johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hahaha....... bwashee karibu hapa Jogoo house magomeniRubbish, pumbavu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha....... bwashee karibu hapa Jogoo house magomeniRubbish, pumbavu sana
Tatizo mkiambiwa ukweli mnaanza kutafta uchochoroChadema ni chama cha siasa sio Building Construction Company inatakiwa kujenga taasisi imara sio kujenga maghorofa, iko wapi TLP yenye ghorofa iko wapi CUF yenye ghorofa iko wapi NCCR yenye ghorofa, ghorofa bila kuwa na taasisi imara ndani yake ni sawa na gofu tu.
Una uhakika hati ya ghorofa unalosena ni la TLP pale Magomeni imeandikwa jina la chama cha msigina katiba Leo Lwekama?Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.
Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya Soko naniliucom.
Chadema amkeni Saa ya Ukombozi ni sasa.
Una uhakika hati ya ghorofa unalosena ni la TLP pale Magomeni imeandikwa jina la chama cha msigina katiba?Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.
Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya Soko naniliucom.
Chadema amkeni Saa ya Ukombozi ni sasa.
Jogoo house ni mali ya CCMUna uhakika hati ya ghorofa unalosena ni la TLP pale Magomeni imeandikwa jina la chama cha msigina katiba?
Yule Mwenyekiti wenu mwizi wa Ccm wilaya ya Ilala Leo kaliwa kichwa Dodoma.Hahaha....... bwashee karibu hapa Jogoo house magomeni
Gorofa syo chama.Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.
Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya Soko naniliucom.
Chadema amkeni Saa ya Ukombozi ni sasa.
nakuja rafikiHahaha....... bwashee karibu hapa Jogoo house magomeni