Kama TLP ina ghorofa Magomeni, CUF inalo Buguruni na NCCR walikuwa nayo Bunju. Nashauri Wana-CHADEMA kuhakiki mali zenu sasa

Kama TLP ina ghorofa Magomeni, CUF inalo Buguruni na NCCR walikuwa nayo Bunju. Nashauri Wana-CHADEMA kuhakiki mali zenu sasa

Chama chenye kusubiri mitumba kijani na kufanya ndio nguo zao za sikukuu, sasa kinajijenga nini kama hadi sasa kinategemea mitumba kwa wana kijani?
 
Mama fukuza kazi Waziri wa Mifugo na Uvuvi, wamejipanga kuharibu mradi wa ufugaji samaki kwa kutumia vizimba. Mradi huu unaenda kuwa kama ule wa mtoto wa Mseven kule Uganda. Usije kusema hatukukwambia mapema Mama. @UvuviNa @tadbtz
 
Chadema ni chama cha siasa sio Building Construction Company inatakiwa kujenga taasisi imara sio kujenga maghorofa, iko wapi TLP yenye ghorofa iko wapi CUF yenye ghorofa iko wapi NCCR yenye ghorofa, ghorofa bila kuwa na taasisi imara ndani yake ni sawa na gofu tu.
Tatizo mkiambiwa ukweli mnaanza kutafta uchochoro
 
Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.

Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya Soko naniliucom.

Chadema amkeni Saa ya Ukombozi ni sasa.
Una uhakika hati ya ghorofa unalosena ni la TLP pale Magomeni imeandikwa jina la chama cha msigina katiba Leo Lwekama?
 
Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.

Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya Soko naniliucom.

Chadema amkeni Saa ya Ukombozi ni sasa.
Una uhakika hati ya ghorofa unalosena ni la TLP pale Magomeni imeandikwa jina la chama cha msigina katiba?
 
Kama Vyama hohehahe kama akina TLP, akina CUF na NCCR wamemiliki mashamba na Maghorofa ni wazi Chama cha mabepari Chadema kinamiliki mali nyingi.

Hata CCM kama siyo yule Shujaa hadi leo tusingejua kama Channel ten ni mali ya chama pamoja na ile kampuni ya Simu za mikononi inayomiliki 40% ya Soko naniliucom.

Chadema amkeni Saa ya Ukombozi ni sasa.
Gorofa syo chama.
Mbona hivyo vyama havifurukuti kama vina magorofa
 
Back
Top Bottom