Kama tumefikia hatua ya kuachia watuhumiwa kwa sababu za kisiasa, Taifa letu linaelekea pabaya sana

Nchimbi yuko wapi maana mmekaa kimya ushahidi hampeleki mpaka wanatolewa

Unakuja kulialia kwenye mitandao huku
 
Papaa msofe nae out...mzee wa madili mzee wa mishen tauni...
Lazima turudi kule maana huku kuna uamsho pale harninder kule papa msofe....
 
Kama Emmanuel Mchimbi alikua na ushahidi alishindwa Vipi kuwakuta na hatia Miaka 6 yote
 
Nchimbi yuko wapi maana mmekaa kimya ushahidi hampeleki mpaka wanatolewa

Unakuja kulialia kwenye mitandao huku
Wapuuzi hawa ,Miaka 6 hampeleki ushahidi Leo hii wanapiga kelele Mafirauni Wakubwa hawa
 
Familia isiyo na baba (namughe) huitwa 'kaya ya kishimbe'…. mara nyingi ni mbovu kwenye malezi.

Kaya namughe!🤏[emoji2535][emoji276]
 
Wapuuzi hawa ,Miaka 6 hampeleki ushahidi Leo hii wanapiga kelele Mafirauni Wakubwa hawa
Wanaroho mbaya sana hawa watu

Mtu ana makosa aliwe kichwa wamekaaa nao miaka yote leo wametoka kelele

Mbona magaidi wa kibiti hakukuwa na mahakama watu wamefanya yao nchi shwari

Maana yake hawa hazikuthibitika Tuhuma zao wameona waachiliwe wakalime matembele na familia zao

Anayeona jela kuzuri aende na familia yale wakaishi kule
 
Wewe ni mpuuzi tu, sasa kama wanaachiwa miaka yote hiyo mbona hawakuwa convicted? una roho mbaya kama mwendazk, una mtuhumu vipi mtu miaka 8 mfululizo hujamtia hatiani?, ingekuwa ni babaako na mamaako au ndugu yako tu ungekuja hapa leo kuandika ujinga huu.

Nyinyi ndio wale ccm mavi roho mbaya ambao zama zenu zishapita sasa mnatapa tapa tu.

Kunywa sumu basi masheikh ndio wako nje huru kabisa wanaranda kila kona wanapiga misosi.,
 
Ziwekwe hadharani sababu zilizopelekea kuwafunga na ziwekwe wazi zilizotumika kuwafungua.
 
Kwahiyo DPP ATAKUWA SAWA KWA KUWABAMBIKIA WATU KESI? ILA HAYUKO SAWA ANAPOWAACHIA KWAKUKOSA USHAHIDI...
 
Mleta maada unahakika gani Kama hao watuhumiwa hawakukamatwa kwa sababu za kisiasa? Maana Kama unaona Wana achiwa kwa sababu za kisiasa Kuna uwezekano mkubwa pia walikamatwa kwa sababu za kisiasa.nawaza tu
 
Vp kama walifungwa kisiasa? Unayakumbuka ya Jiwe na Babu seya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…