CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Kama mpira Ungekuwa hivyo Nigeria angekuwa Bingwa wa Vikombe vyote
na hata Kombe la Dunia.
Angekuwa bingwa wa kihistoria....
na hata Kombe la Dunia.
Angekuwa bingwa wa kihistoria....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Genta katika ubora wake.Wiki hii hayuko Period hivyo Jukumu la Kufa Mamelodi Sundowns FC kaachiwa Jamaa wa Mtwara na Mafia ambaye pia hutumiwa sana na Mawaziri wenu muhimu Watatu, Chief wenu wa Kisukuma na Kiunguja na Mzungu Pori wenu anayeoa na kuacha baada ya Kugongewa na Matajjri wake wanaomuweka Mjini kule Kwake Masaki Slip Way walikompangia.
Hujui hata unaongea nini.
Uliotukuka.Genta katika ubora wake.
Vipi kigoma na mashujaa yao, wanaongoza ligi?Sumbawanga hakuna uchawi, ni watu mmekariri tu
Hata hapa hujui ulichokoment, ni mihemko, kukurupuka plus ujinga.Kama Kitu Hukielewi Basi Ujue Hakijaandikwa Kwajili Ako Dogo...!! Don't Panic Hii Comment Sio Yale