Kama tumekubaliana kuwa wamoja kimataifa, sasa kwanini tumeanza kurogana wenyewe kwa wenyewe?

Kama tumekubaliana kuwa wamoja kimataifa, sasa kwanini tumeanza kurogana wenyewe kwa wenyewe?

Kama mpira Ungekuwa hivyo Nigeria angekuwa Bingwa wa Vikombe vyote
na hata Kombe la Dunia.

Angekuwa bingwa wa kihistoria....
 
Wiki hii hayuko Period hivyo Jukumu la Kufa Mamelodi Sundowns FC kaachiwa Jamaa wa Mtwara na Mafia ambaye pia hutumiwa sana na Mawaziri wenu muhimu Watatu, Chief wenu wa Kisukuma na Kiunguja na Mzungu Pori wenu anayeoa na kuacha baada ya Kugongewa na Matajjri wake wanaomuweka Mjini kule Kwake Masaki Slip Way walikompangia.
Genta katika ubora wake.
 
Back
Top Bottom