Kama tunataka matokeo makubwa TAZARA tupafumue pale kiutendaji

Kama tunataka matokeo makubwa TAZARA tupafumue pale kiutendaji

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Ukifika Ofisi za Tazara unaweza kukuta nusu ya wafanyakaza hawapo kazini hata wiki nzima na kwao hiyo ni normal kabisa.

Mkurugenzi akitoka tu na wao hupanga lini niende ofisini lini nisiende nitoke saa ngapi, kama kweli tunataka matokeo yenye tija na hizi reli tulizozijenga kwa hela nyingi za kukopa namshauri mama afumue pale abaki Mkurugenzi tu.

Kuna wafanyakazi pale wanafanya kazi kama Ofisi ya baba. Waziri wa Uchukuzi fanya zaiara ya ghafla pale utani shukuru.
 
Kuna ile treni ya kwenda pugu. Serikali wameshindwa ata nunua mabehewa mapya. Wakafanya design kama mwendokasi. Watu wasimame wingi uchache kukaa. Itasaidia kwa town trips
 
Za kufumua ziko nyingi hata TANESCO ni pakufumua🤔
Nami napaza sauti fumua TANESCO ,gawa hii kampuni na Tanesco wabakiwe na kazi ya ku supply umeme kwa nchi ila manufactures wa umeme wawe wengi na Tanesco wanunue kutoka kwa wazalishaji, Tuelewe China 🇨🇳 imefanikiwa ilikuwa ni pamoja kuhakikisha kuwa umeme unapatikana kwa bei ambayo wateja wanaimudu, kuna makampuni mengi China yanayoshindana kuzalisha umeme
 
Kuna ile treni ya kwenda pugu. Serikali wameshindwa ata nunua mabehewa mapya. Wakafanya design kama mwendokasi. Watu wasimame wingi uchache kukaa. Itasaidia kwa town trips
Jipu ni Ofisi ya Pesa (Finance) yule mwamba atakua mchawi yule maana order inaweza kutoka kwa Masanja (boss) kua ifanyike kitu flani na taratibu zote zikafatwa ikifika pale jamaa anazuia file hata miezi 4 au 5 huku mtasota na treni mpaka mfurahi. Sasa watu kama wale sijui kwa nini serikali inawachekea na serikali inajua yanayoendelea sio kua haijui sijui ni nini tunakosea walahi.
 
Nami napaza sauti fumua TANESCO ,gawa hii kampuni na Tanesco wabakiwe na kazi ya ku supply umeme kwa nchi ila manufactures wa umeme wawe wengi na Tanesco wanunue kutoka kwa wazalishaji, Tuelewe China 🇨🇳 imefanikiwa ilikuwa ni pamoja kuhakikisha kuwa umeme unapatikana kwa bei ambayo wateja wanaimudu, kuna makampuni mengi China yanayoshindana kuzalisha umeme
Hili ni jipu lingine aisee kweli tunahitaji muundo mpya kabisa wa hili shirika tatizo lingine hawa jamaa wanafanya kazi kimazoea na upigaji mwingi.
 
Ofisi nying za serikali ndio zipo hivyo.. kudoji wiki 2 au 3 kazin sio shida!
Hii ni kwa nini ? Na Viongozi wa juu wanajua haya hata Utumishi wanajua kwa nini wanaendekeza haya ? Unajua ni kama tumelogwa watanzania na hatushtuki kabisa boss utumishi pale akiingia kwenye V8 lake kala over time na per dm za kutosha hana habari na nyie mbwa wengine. Inatia hasira hii mambo
 
Hili ni jipu lingine aisee kweli tunahitaji muundo mpya kabisa wa hili shirika tatizo lingine hawa jamaa wanafanya kazi kimazoea na upigaji mwingi.
Tanzania sio kisiwa ni lazima nasi tukimbie sambamba na dunia, hatuwezi hadi leo tunawategemea tanesco wazalishe umeme na waweze ku supply hii mandate ni kubwa mno kwao na uwezo huu hawana, turuhusu watu binafsi na makampuni yazalishe umeme na wawauzie tanesco, the more megawatts we pump on our national grid the better kwa uchumi wa nchi
 
Back
Top Bottom