johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimwkuwa nikifuatilia Press conferences za viongozi mbalimbali wa dunia baada ya Russia kuivamia Ukraine na kugundua Tanzania hatuna kabisa Waandishi wa habari wenye uwezo wa Kuelewa na Kuhoji.
Nikajiuliza imekuwaje Tundu Lissu akapata kazi UN na EU? Au ni mchongo?
Kama ni kweli yuko UN/EU na ameingia kihalali basi siyo siri TAL ni Akili kubwa aka Bongo Bahati Mbaya.
Maendeleo hayana vyama!
Nikajiuliza imekuwaje Tundu Lissu akapata kazi UN na EU? Au ni mchongo?
Kama ni kweli yuko UN/EU na ameingia kihalali basi siyo siri TAL ni Akili kubwa aka Bongo Bahati Mbaya.
Maendeleo hayana vyama!