johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Lissu ana akili kubwa sn brother ndiyo maana CCM walitaka kumuuaNimwkuwa nikifuatilia Press conferences za viongozi mbalimbali wa dunia baada ya Russia kuivamia...
Kama siyo mpeleka maendeleo jimboni kwake mbona aligombea?Kwani yeye ndy mpeleka maendeleo jimboni kwake?
Tuanzie hapo kwanza
Ikungu kuna DC, DAS, DED, TRA na Mwenyekiti wa councilKwani yeye ndy mpeleka maendeleo jimboni kwake?
Tuanzie hapo kwanza
Kazi yake ilikuwa ni kupeleka changamoto/kero za kimaendeleo bungeni,si kupeleka maendeleo ikungiKama siyo mpeleka maendeleo jimboni kwake mbona aligombea?
Ubongo wake unafunzaIkungu kuna DC, DAS, DED, TRA na Mwenyekiti wa council
SureUbongo wake unafunza
Bora hata wewe dishi lako lipo sawHivyo vitabu viko wapi?
Wewe ni Chadema damuNimwkuwa nikifuatilia Press conferences za viongozi mbalimbali wa dunia baada ya Russia kuivamia Ukraine na kugundua Tanzania hatuna kabisa Waandishi wa habari wenye uwezo wa Kuelewa na Kuhoji...
Tundu Lissu ni think tankNimwkuwa nikifuatilia Press conferences za viongozi mbalimbali wa dunia baada ya Russia kuivamia Ukraine na kugundua Tanzania hatuna kabisa Waandishi wa habari wenye uwezo wa Kuelewa na Kuhoji.
Nikajiuliza imekuwaje Tundu Lissu akapata kazi UN na EU? Au ni mchongo?
Kama ni kweli yuko UN/EU na ameingia kihalali basi siyo siri TAL ni Akili kubwa aka Bongo Bahati Mbaya.
Maendeleo hayana vyama!
Bora hata wewe dishi lako lipo saw
Mbona Kibajaji, Ndugai na wengine waligombea??Kama siyo mpeleka maendeleo jimboni kwake mbona aligombea?
... Mkinichagulia mpinzani maji siletiii, huo ndiyo ukweliii na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.... (Jiwe, 2020)...Kazi yake ilikuwa ni kupeleka changamoto/kero za kimaendeleo bungeni,si kupeleka maendeleo ikungi
Ili wapeleke maendeleo.Mbona Kibajaji, Ndugai na wengine waligombea??
Vipo UN na EU librariesHivyo vitabu viko wapi?
Eti kaweka taa za barabarani kilometre moja!Taja legacy ya ndugai jimboni kwake
Vipo UN na EU libraries