Nimwkuwa nikifuatilia Press conferences za viongozi mbalimbali wa dunia baada ya Russia kuivamia Ukraine na kugundua Tanzania hatuna kabisa Waandishi wa habari wenye uwezo wa Kuelewa na Kuhoji...
kitendo Cha kushinda ubunge marambili Kanda ya Kati Tena in rural area Hilo tu ukiachana namengine yote huyu jamaa namwona ni mtu mwingine achana na ushindi wa risasi nasema kushinda ubunge