Kama Tundu Lissu ni mchochezi hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake, la sivyo serikali ijibu hoja yake

Kama Tundu Lissu ni mchochezi hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake, la sivyo serikali ijibu hoja yake

Uzima Tele

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2023
Posts
1,270
Reaction score
2,822

Ukiachilia mbali mkataba wa bandari ambao Serikali imesaini kuwapa bure waarabu wa Dubai bandari zote za Tanganyika za bahari na maziwa makuu, kumbe pia;

1. Inadaiwa serikali imeingia na kusaini mkataba wa kuwapa waarabu hawahawa hekta za misitu ya Tanganyika milioni 8 eti watusaidie kutunza. Na mkataba huo haukupita bungeni kama ambavyo sheria ya ulinzi wa rasrimali asili zetu ya mwaka 2017 inavyotaka..

Je, hili nalo ni la kweli Rais Samia?

2. Inadaiwa Serikali imesaini mkataba wa kuwamilikisha Waarabu hawahawa tena hifadhi za Ngorongoro na Loliondo Kwa namna na mtindo ule ule na ndiyo maana huko Kuna mgogoro mkubwa kati ya serikali vs wananchi vs mwaarabu huyo..

Je, hili nalo ni la kweli Rais Samia.?

3. Kwa mtindo ule ule wa kinyemela, inadaiwa Serikali inammilikisha mzungu mmoja wa Kimarekani aliyefadhili sinema ya Royal Tours ekari 6,000,000 ndani ya hifadhi za taifa.

Rais Samia, hili nalo likoje? Utakaa kimya mpaka lini? Na ili iweje ukiamua kukaa kimya?
 
Namshauriii SSH apumzile salana asigombee 2025 ni aibuuuu
 
Hivi huo mkataba wa bandari ni kweli hauna makubaliano utaisha lini?

Wengine hatupo mjini, hao wawekezaji watusaidie dawa na mbolea sasa
 
Back
Top Bottom