Kama uchumi wako ni wa kipato cha kati na umeendekeza kugawagawa pesa kwa wanawake kamwe hutokuja kuendelea

Kama uchumi wako ni wa kipato cha kati na umeendekeza kugawagawa pesa kwa wanawake kamwe hutokuja kuendelea

EllySkyWilly

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2020
Posts
2,204
Reaction score
2,085
Hii ni nzuri kidogo na inaeleweka.

Mkuu kama unaona maisha yako ni ya uchumi wa kipato cha kati na unaendekeza kugawa pesa kwa wanawake kamwe hutokuja kuendelea. Utabakia hapohapo.

Wanawake wafundishwe kujitafutia. Mbona wanawake wakizungu wao ukienda nao hotelini wanajilipia wenyewe ina maana wao sio wajukuu wa Eva.

Hawa wakwetu wamejisahau mno. Ukimwomba tu urafiki watsap mkaanza kuchati anaanza kukuomba pesa. Kwamba sio ndio ATM. Mbona wanajiabisha sana.

Nakazia kama tu kama unapenda kusaidia saidia watoto yatima na wasio jiweza. Hao watoto watakuombea zaidi utafanikiwa. Sasa hao wengine watadai na ya kutolea na mwisho wake atakwambia kwani nilikuomba.
 
Mhm!wanawake wakijilipia bill uanaume wako uko wapi
Kama huwezi kulipa bill?

Hata kujenga nyumba utashindwa sasa Kama vitu vidogo vinakushinda
 
Haipo haja ya kuwafundisha kujitafutia

Wewe ukiombwa pesa usitoe....mwisho wa siku lazima ajitafutie
Mhm!mwanaume halisi lazima utoe hela sasa kama nashindwa kulipa bill kujenga nyumba ntaweza kweli
 
Ni kweri kua ukihonga Sana huwezi kufikia malengo
Ila si kweri kua huwezi kumpa Hera mwanamke wako.
 
Sidhani kama kuna mtu anakuwa anatoa pesa bila sababu kama ulivyosema kugawa gawa...alafu siri ya mafanikio sio kubana matumizi according to mimi
 
Write your reply...ngoja mwaje
 
Mhm!wanawake wakijilipia bill uanaume wako uko wapi
Kama huwezi kulipa bill?

Hata kujenga nyumba utashindwa sasa Kama vitu vidogo vinakushinda
Mkuu jaribu kufikiria vizuri utakuta jamaa anajibana sawa alafu pesa yote aliyobana anaenda kuituma mpesa kwa mwanamke. Huyo anaweza endelea kweli.
 
Sidhani kama kuna mtu anakuwa anatoa pesa bila sababu kama ulivyosema kugawa gawa...alafu siri ya mafanikio sio kubana matumizi according to mimi
Mkuu mimi nakwambia watu wote wenye maendeleo makubwa hayo mambo huwa hawafanyi
 
Mhm!wanawake wakijilipia bill uanaume wako uko wapi
Kama huwezi kulipa bill?

Hata kujenga nyumba utashindwa sasa Kama vitu vidogo vinakushinda
Kuna uhusiano gani kati ya kulipia bill na uanaume?? Kulipa bill ya chakula unalinganisha na kujenga nyumba??
 
Otherwise hutaki kuwa kudume, uanamume ni pamoja na kutoka pesa ili kumcontrol mwanamke.
 
Hii ni nzuri kidogo na inaeleweka.

Mkuu kama unaona maisha yako ni ya uchumi wa kipato cha kati na unaendekeza kugawa pesa kwa wanawake kamwe hutokuja kuendelea. Utabakia hapohapo.

Wanawake wafundishwe kujitafutia.
Mbona wanawake wakizungu wao ukienda nao hotelini wanajilipia wenyewe inamaana wao sio wajukuu wa Eva.

Hawa wakwetu wamejisahau mno. Ukimwomba tu urafiki watsap mkaanza kuchati anaanza kukuomba pesa.

Kwamba sio ndio ATM. Mbona wanajiabisha sana.

Tafuta ambae atajilipia mwenyewe hotelini.
Hao wengine waachie wanaume wenye uwezo wa kuwalipia kila kitu bila kulalamika
 
No research no right to speak
IMG-20200920-WA0043.jpg
 
Mkuu mimi nakwambia watu wote wenye maendeleo makubwa hayo mambo huwa hawafanyi
Mkuu unafikiri bila kuwepo anaye kufanya uone mia ni ndogo utaendelea na kufikia ayo maendeleo makubwa lazima kiwepo kitu cha kukupa motisha utafute zaidi. Na moja ya motisha izo ndiyo kama izo umekutana na mrembo kaomba laki na wewe una laki na 50, so lazima upate hasira ya kutafuta tu
 
Hii ni nzuri kidogo na inaeleweka.

Mkuu kama unaona maisha yako ni ya uchumi wa kipato cha kati na unaendekeza kugawa pesa kwa wanawake kamwe hutokuja kuendelea. Utabakia hapohapo.

Wanawake wafundishwe kujitafutia.
Mbona wanawake wakizungu wao ukienda nao hotelini wanajilipia wenyewe inamaana wao sio wajukuu wa Eva.

Hawa wakwetu wamejisahau mno. Ukimwomba tu urafiki watsap mkaanza kuchati anaanza kukuomba pesa.

Kwamba sio ndio ATM. Mbona wanajiabisha sana.

Nakazia kama tu kama unapenda kusaidia saidia watoto yatima na wasio jiweza. Hao watoto watakuombea zaidi utafanikiwa.

Sasa hao wengine watadai na ya kutolea ni mwisho wake atakwambia kwani nilikuomba.
I hope mkuu utakuwa unamiliki mjengo mkali sana, kwavile huna tabia ya kugawa gawa hela.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Kwa Sasa inaonekana kitendo Cha wanawake kuomba hela kwa wanaume kimekithiri Sana ,maana naona nyuzi zimekuwa nyingi Sana kuhusiana na wanawake wapunguze vizinga,lakini hiki kitu hakiwezi kuisha mhim we Kama mwanaume pambana tu Ukiona vizinga huviwezi kimbia Kama unaviweza toa tu ,maana pesa Ni mhim kwenye kuimarisha Stability ya mahusiano.
JamiiForums-469092451.jpg
 
Back
Top Bottom