Juzi nimetoka nunua Bundle la vitabu Pdf. Ufugaji wa Kuku wa kienyeji na kisasa. Vilikuwa vitabu zaidi ya .
Kuanzia ujenzi wa Banda, Ramani yake, aina za mabanda. Kuhusu kuku, mbegu ,aina zake.
Kuandaa chakula, kutuza vifaranga.
Chanjo na dawa za kuku, vimeshiba vyema.