Kama ukiitwa kusuluhisha mgogoro huu utausuluhisha vipi?

Kama ukiitwa kusuluhisha mgogoro huu utausuluhisha vipi?

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Eti kwenye familia moja ukute kuna migogoro mitatu inayohitaji kusuluhishwa kwa wakati mmoja.
  • Mgogoro wa kwanza, baba kauza shamba la familia pesa kaenda kuhonga malaya wake.
  • Mgogoro wa pili, mama kapatiwa ujauzito na kibeniten tena kilichokuwa kimepanga nyumba ya jirani.
  • Mgogoro wa tatu, kijana mkubwa wa hii familia kala ada ya chuo na karudishwa nyumbani.
 
Kama baba itabidi nipambane nipate hela ya ada kijana arudi chuo.
Ila mama itabidi wakaongeze mtoto mwingine na kibenten chake lakini akiwa haishi kwangu.
Yote ni migogoro lakini la bi mkubwa kugawa papuchi hadi anatiwa mimba ni mkubwa kuliko yote huyo hana chake aende tu.
 
Nitawashauri baba na mama wamalize tofauti zao waendelee kulea family maana hapo wote wakosaji km baba kauza shamba na kupeleka kwa malaya hela alipitiwa na shetani na mwanamke pia alipitiwa na pepo baada ya baba kutumia muda mwingi kwa malaya pasipo kutoa huduma nzuri ya kimwili kwa bi mkubwa ndio maana bi mkubwa aliamua kufuata huduma nje kaipata na bahati mbaya kabeba na mimba.Baada ya baba na mama wamsamehe kijana kwa kula Ada wamtafutie hela nyingine ili aweze kurudi shule
 
Eti kwenye familia moja ukute kuna migogoro mitatu inayohitaji kusuluhishwa kwa wakati mmoja.
  • Mgogoro wa kwanza, baba kauza shamba la familia pesa kaenda kuhonga malaya wake.
  • Mgogoro wa pili, mama kapatiwa ujauzito na kibeniten tena kilichokuwa kimepanga nyumba ya jirani.
  • Mgogoro wa tatu, kijana mkubwa wa hii familia kala ada ya chuo na karudishwa nyumbani.
Kijana Mkubwa lazima aondoke nyumbani. Kula Ada ya Chuo kisha anarudi nyumbani kuwapa mzigo wazazi haikubaliki kabisa... Shenz taip!
 
nitasuluhisha mgogoro wa kwanza huo Uko rahisi sana mke anaondoka huyo malaya analetwa. OVER
 
Eti kwenye familia moja ukute kuna migogoro mitatu inayohitaji kusuluhishwa kwa wakati mmoja.
  • Mgogoro wa kwanza, baba kauza shamba la familia pesa kaenda kuhonga malaya wake.
  • Mgogoro wa pili, mama kapatiwa ujauzito na kibeniten tena kilichokuwa kimepanga nyumba ya jirani.
  • Mgogoro wa tatu, kijana mkubwa wa hii familia kala ada ya chuo na karudishwa nyumbani.
Nawapa hongera na kuwapigia makofi kwa uzembe wao wa kujitakia
 
Back
Top Bottom