Kama ukitongoza mwanamke kumbe ana mtoto!?

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Hivi katika mizunguko yako unakutan na demu Bomba mnaonge mnakubaliana na matumbua vyuku byere!!matanuzi yakufa mtu mnatoka club usiku mnaenda kwake unakuta anakichanga cha miezi 2!!na wewe huku ulisha jitune unaenda kupalamia kinoma!!Je wewe utaacha au utavaa miwani ya mbao bila kujali kichanga??
 
Yeye hakukijali kichanga chake we utakijalije endeleza makamuzi
 
Daaaaaaaah maswali ya Kakakiiza bwana utadhani Chemsha Ubongo
 
Kwani kichanga kinazuia nini
 
Kwahiyo wewe unakuwa kama mwenzio makamuzi mbele!!well noted

Ni vizuri sana ukahakikisha huyu mwenzio mabyere yamemtoka na hiki kichanga japo mkilaze pembeni, manake naona kama kuna dalili ya murder case hapo, kama mtakilalia!!:teeth:
 
For the sake of the child mimi naona vizuri ukaachana naye!
 
Habari wana jamii
mh inaonekana huyu jamaa yamemtokea ?ila ingekuwa mimi ningekula mzigo kama kawa
 
Swali zuri Kaka! Kama kweli wewe ni Mwana-Adam uliyezaliwa na Mwanamke, lazima uwe na roho ya UTU... Kaka kweli kweli.. umekakuta katoto kachanga kamelala ndani,... p'se usifanye dhambi hiyo.. mwache huyo Dada, na tena usimwache hivi hivi.. mpe somo.. mseme, mpake sana... mwonye.. ikibidi mpige mangumi...
Wanawake tuwe na utu na watoto wetu wachanga.. nini kubemenda watoto.. wape watoto haki zao za msingi..kama kunyonyesha mpaka miezi sita bila kuchanganya vyakula.
 
ww utamaliza maziwa ya mtoto, matiti ya mtoto right now,
 

Hapo kwenye red Mama Mourinho umenichanganya. Unaongelea utu halafu unatoa wito wa kumpiga mangumi. Nishike lipi?
 
MM mona miezi miwili n mingi? mie nasikia ati arobaini tu zatosha! au mie nimedanganywa
hapo? Afu kwani ukipiga gemu kuna tatizo gani kama mtoto lishe yake (maziwa) anapata?
 
Afu mkilianzisha hapo lazima junior ataibuka tu kutafuta hoteli. Ila nlishawahi msikia dada mmoja akisema ati kila akinyonyesha huko chini kunapwita aka anajisikia ku-do. Sasa kama huyo nae yuko hivyo, basi hapo
ngoma inogile maana junior ananyonya na wewe unasokomeza hapo ni spoon style tiu ndio inafaa. ...... LOL.......(Angalizo, hapa matiti mali ya junior .....hahah)
 
Toka naye mwende dukani makafanye shoping za kichanga, acha fedha za matumizi kisha kula kona.
 
MM mona miezi miwili n mingi? mie nasikia ati arobaini tu zatosha! au mie nimedanganywa
hapo? Afu kwani ukipiga gemu kuna tatizo gani kama mtoto lishe yake (maziwa) anapata?

Miezi 2 MINGI SANA. MI NILIANZA KU DO NA MR WAKATI KICHANGA KINA 3weeks.
 
Hapo inabidi ujiulize. Kama hakukupa taarifa za kuwepo huyo kichanga, je kuna vingapi huvijui; ingia mitini kisailensa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…