Kama ukitongoza mwanamke kumbe ana mtoto!?

duuuh sasa mkuu unaweza kula maraha yote hayo usigundue kwamba ni mzazi tena wa mtoto wa miezi miwili?:nono: wamama wako very concious na vichanga vyao ungegundua tu au labda na wewe ulikua na kiu takatifu...
 

ukiondoa kipengele cha kumpiga,umenifurahisha kwa maneno yako my dear.sina hata cha kuongeza.
kakakiiza hili ndilo jibu lako.
 
LOL,
nahisi huyo dada hana malezi bora na mwanae,ila wewe kwa kuonyesha kujali we mwambie akae kwanza alee mtoto then mtatafutana siku za mbeleni.
 
My Concerni iweje uparamie mtu usiku huohuo humjui halafu unataka ngono straight a way! hayo jamani yamepitwa na wakati. Badilikeni.
 

We KK kwani wewe ni Mariooo?? mpaka uende kufanyiana kwa huyo mwanamke??? Kwani mngekwenda hotel au Guest House hayo ungeyajuaje??
 
Sasa mkuu kama imetokea c utupe tu jibu ulifanyaje? mbona unatupa vitendawili, tuambie tu kama umesham-bemenda kichanga wa watu.
Hii kitu nafikiri inahitaji mtaalam kidogo wa haya masuala, wengine wanasema utaharibu maziwa ya mtoto (anaruhusiwa baba tu), lakini kwa kua unatumia kinga basi mchape vilivyo huyo bibie kwa sababu issue ni mbegu kuingia kwa mama na sio msuguano.
 
nadhani chumamboga itafaa kwa hali hiyo.ili msichezee/kuharibu chakula ya mtoto hahahaha
 
duh! Nyie lazima wanajeshi!

wala si wanajeshi. As long as am feelin ok why not nicpate raha na mpenzi wangu. Tatizo kama mama bado anapata maumivu akifanya tendo hilo sawa inabid kuacha. Sasa kama upo ok!,!! Una do tu.
 
We KK kwani wewe ni Mariooo?? mpaka uende kufanyiana kwa huyo mwanamke??? Kwani mngekwenda hotel au Guest House hayo ungeyajuaje??
cost reduce!!za club zinatosha bado zakumuachia!!
 
My Concerni iweje uparamie mtu usiku huohuo humjui halafu unataka ngono straight a way! hayo jamani yamepitwa na wakati. Badilikeni.

Badrika wewe uje huku tuliko kwani umekuja kuwekeza duniani??wewe ni transit to weather you like or not!!
 
LOL,
nahisi huyo dada hana malezi bora na mwanae,ila wewe kwa kuonyesha kujali we mwambie akae kwanza alee mtoto then mtatafutana siku za mbeleni.
Umegharamia then wewe nimpita njia unataka kutoa ukakasi!tu
 

Lazima atakuwa na matatizo inabidi ukae nae vizuri akueleze nini kilichomsibu,ni busara tu hapo inabidi itendeke kijana ngono weka pembeni msikilize kwanza alikuwa ana maana gani..
 
Umegharamia then wewe nimpita njia unataka kutoa ukakasi!tu

Gharama kitu gani wewe,msikilize kwanza akueleze kilichomsibu ili kama unaweza kumsaidi,we unawaza kurudisha gharama tu utambemenda huyo mtoto bureeee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…