David Ben Gurion
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 868
- 1,384
Mama mkubwa tunachekesha kweli... But ni uhalisia Lakini huo upepo mchafu unaisha lini??? Hivi unajua unapokuwa kwenye mawimbi makali unaona kama hayataisha???? Japo ukweli yataisha lakini haijulikani Muda.... Ndio maana wengine hushindwa na kukata tamaaNyie watoto mnachekesha nimesoma vicomments vyenu😂bas mmeongea ya moyoni.huo ni upepo mchafu ukipita yanaisha.