Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Kama ulifanya huu mchezo na bd upo kwenu Toka haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaUmenichekesha huo sio mchezo,Ni Hali ya kipato,hata leo wapo wengi tuu,wanaovaa hivyo.
Mtoa mada fanya ziara ya ndani ya tz uone Hali za watanzania
Huyo jamaa juu ajitambui na ni mtu mzima..Huo siyo mchezo mkuu,ni hali ya uchumi kukaa..
Inafanyika mpaka Leo.
Yeah tope linafaida mana unapandia mpunga unavuna unakula unashiba na kupiga pesa,vip wewe ambae n sawa na kamas likitoka limetoka🤷🏽♂️🤷🏽♂️Huyo jamaa juu ajitambui na ni mtu mzima..
Umri wake sawa na mkojani lakini kichwani tope tupu
😂😂😂😂Yeah tope linafaida mana unapandia mpunga unavuna unakula unashiba na kupiga pesa,vip wewe ambae n sawa na kamas likitoka limetoka🤷🏽♂️🤷🏽♂️
Huyu anaonekana anatoka familia ya kitajiri na ndio mtoto pekee pale kwao Ambae hadi YAI anamenyewa.. Yaani huo anaona ni mchezoHuo siyo mchezo mkuu,ni hali ya uchumi kukaa..
Inafanyika mpaka Leo.
Yaani kafanikiwa tu kununua sabufa ya aborder Tena ya kutumia sola anaanza kukashifu watuHuyo jamaa juu ajitambui na ni mtu mzima..
Umri wake sawa na mkojani lakini kichwani tope tupu
... wa katiHali halisi ya uchumi...
😂😂😂😂😂😂 Nikisema aache kula mchele mbichi ananiona mimi snich et ahahahaYaani kafanikiwa tu kununua sabufa ya aborder ya kutumia sola anaanza kukashifu watu
Ndugu Magical power bd ndio nini? yaani maneno yote umeweza kuandika, lakini neno bado umeona ni neno gumu sana mpaka ufupishe na kuleta sintofahamu kwenye habari yako nzima? Acheni huu uvivu.Kama ulifanya huu mchezo na bd upo kwenu Toka harakaView attachment 3145213
Mkuu Bado sijafikia uko nipo na kasongo ya kaseti ya kandaYaani kafanikiwa tu kununua sabufa ya aborder Tena ya kutumia sola anaanza kukashifu watu
Bd maana yake kesho uwai
SanturiMkuu Bado sijafikia uko nipo na kasongo ya kaseti ya kanda
Kamasi linatengeneza mtoto anakuja kukusaidia uzeeni.Yeah tope linafaida mana unapandia mpunga unavuna unakula unashiba na kupiga pesa,vip wewe ambae n sawa na kamas likitoka limetoka🤷🏽♂️🤷🏽♂️