Kajolijo
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 3,364
- 4,612
*Kama ulikuwa hujui Seduce me ile ngoma ya Ali Kiba inatibu matatizo yafuatayo:*
Inaongeza hamu ya kula.
Inaleta mvuto wa biashara.
Inaongeza nguvu za kiume.
Inapunguza kasi ya maambukizi ya ukimwi.
Inaongeza Makalio kwa wadada.
Pia inaleta umoja na kama huamini waulize WCB jinsi walivyokuwa na umoja kwasasa.
Wahi mapema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inaongeza hamu ya kula.
Inaleta mvuto wa biashara.
Inaongeza nguvu za kiume.
Inapunguza kasi ya maambukizi ya ukimwi.
Inaongeza Makalio kwa wadada.
Pia inaleta umoja na kama huamini waulize WCB jinsi walivyokuwa na umoja kwasasa.
Wahi mapema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]