Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Funguka mama...funguka.
James Jeddah ana bahati sana yule fa.la...😀.
Hahahahahahahaaaa
Watu wanaenda kubatizwa ujue ili wapate nyota ya Jeddah hahahahahahahahahahaaaa.
Mi staki kesi maana nnayotiririka hata ni ya chumbani ujue......... itabidi uweke secretary wa PM maana huu mchele nnao mwaga hapa Hehehehhehe
Atii fa.la. hahahahahahhaaa sema ki.to.mbi. ila bado mademu wanae tuu utasema King Mswati bana..... sijui jamaa alibatizwa na maji ya ndimu
hahahahah
Napenda busu lake...... midomo yake inavopapasa utasema kachanga kamestuka usiku kanatafuta titi la mama yake ili anyonye hahahahahha aianza kunyonya (G mchezo) huwa najikuta nanena kwa lugha zile za shandara shondorooo lalalala bababababa shandarararara shondorooo
Weeeh siendelei tena unataka kunipeperushia ndege wangu nini......
Ila .... James Jeddah ana makea jamani.... usikohoe huyu hapa keshakuletea glass ya maji.... ukijamba keshakuletea poti aahahahahahahhahahahaaaa mengine njoo home.
Kasie.