Kama ulikuwa hujui, hawa ndio watu watatu wasiodanganya

mkuu mm naona ni bubu ,mtoto under 2years na kiziwi ndo hawadanganyi
 
Weuwee kuna walevi wana akili zao hata akilewa anajielewa, watoto wa siku hizi waongo balaa.
 
Thread yaaa... Na zote zipo MMU bro kuna kitu kimekukumba
 
*Mlevu sio mkweli Bali ni Mropokaji, mtu mropokaji huwezi kumuita mkweli (asiye danganya) maana anaweza kuropoka jambo hata lisilokuwepo
*Mtoto si wa kumuamini sanaa maana akili yake haiwezi kupembua vitu kwa jicho lingine,yeye hubeba maudhui kwa kile anachokiona Mfano watoto wengi hupelekwa kwa mahawara wa baba zao au mama zao na hiambiwa wawaite uncle au Aunt
*Mwanamke sio mtu wa kumuamini, we are pretenders kwaiyo hata hizo kilele wakati mwingine huwa tunaigiza tu wala so kweli
 
Kuna mwanafalsafa mmoja alisema Popote ilipo pombe ndipo ukweli ulipo.
Na ndomana wapelelezi wengi hupenda kwenda bar kukusanya data zao,
na kuhusu mtoto ndiomanaa hata mahakamani ushahidi wa mtoto unakuwa hauna pingamizi,..
Alafu unaposema mnapretend nakushangaa pia binamu, yani inaelekea bado haujawahi kufika kileleni?
Anyway ni jukumu langu, ntakufundisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…