Kama ulikuwa hujui, hawa ndio watu watatu wasiodanganya

Kama ulikuwa hujui, hawa ndio watu watatu wasiodanganya

Weuwee kuna walevi wana akili zao hata akilewa anajielewa, watoto wa siku hizi waongo balaa.
Huyo ni mnywaji, mlevi sikuzote anaropoka vitu vilivyopo kwenye folder la siri,
yani mtu akishalewa anashindwa kutofautisha Siri na bayana
 
Avatar yako balaa
hata mm kwa mbali niliiogopa ile Avatar
256779.jpg
ola kwa kuzoom ni ya kawaida
pale mwanamke anapokaribia kileleni ni FAKE tupu
sema anapokaribia kujifungua, hua anatajwa mhusika mwenye mzigo ndio maana kuna mama wanaoNASABA naye wanakuwepo karibu (si mamamkwe au mawifi)
 
Huyu jamaa anapenda sana JF nadhani siku akipigwa ban hata ya dakika 5 anaweza fuata nyayo za wajomba zake wahehe mara moja.
 
Sasa ukiona hivi ujue kuna mtu kamdanganya [emoji23][emoji23]
 
Kutokana na post yako nimepata jibu nililokuwa nalitafuta asante mkuu STUNTER
 
Kuna mwanafalsafa mmoja alisema Popote ilipo pombe ndipo ukweli ulipo.
Na ndomana wapelelezi wengi hupenda kwenda bar kukusanya data zao,
na kuhusu mtoto ndiomanaa hata mahakamani ushahidi wa mtoto unakuwa hauna pingamizi,..
Alafu unaposema mnapretend nakushangaa pia binamu, yani inaelekea bado haujawahi kufika kileleni?
Anyway ni jukumu langu, ntakufundisha
Hivi Stunter utaacha lini haya?
 
Kutokana na post yako nimepata jibu nililokuwa nalitafuta asante mkuu STUNTER
Chonde chonde usije ukaenda kumdhuru mtu kwa kumpiga na kitu kizito kichwani au kumchoma na kitu chenye ncha kali...
 
hata mm kwa mbali niliiogopa ile Avatar
256779.jpg
ola kwa kuzoom ni ya kawaida
pale mwanamke anapokaribia kileleni ni FAKE tupu
sema anapokaribia kujifungua, hua anatajwa mhusika mwenye mzigo ndio maana kuna mama wanaoNASABA naye wanakuwepo karibu (si mamamkwe au mawifi)
Aisee, ndomana wazungu wanaenda leba na wake zao?? Duuuh
 
Back
Top Bottom