Kama ulikuwa hujui hizi ndio sheria 10 za kufanya mapenzi kwa baadhi ya nchi

Kama ulikuwa hujui hizi ndio sheria 10 za kufanya mapenzi kwa baadhi ya nchi

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
1.Usaliti nchini China inaruhusiwa kwa mwanamke aliyesalitiwa na mume wake kumuua mume wake,lakini sharti amuue kwa mkono wake

2.Kwa sheria za Nervada ni kosa kubwa sana kisheria kama utakutwa una urembo wowote katika uume wako(mwanaume)

3.In Bahrain,daktari wa kiume anaruhusiwa kumtibu mwanamke sehemu zake za siri (mf kumzalisha) lakini hatakiwi kuangalia moja kwa moja bali ni kwa kupitia kioo (reflection)

4 Mwanaume hawezi kufanya mapenzi na mkewe kama mdomoni anatoa harufu, kwa sheria za Alexandria, minnesota kama mwanaume atakuwa ana harufu basi mwanamke anauwezo wa kumuamrisha akapige mswaki

Sheria zingine tembelea hapa kama ulikuwa hujui hizi ndio sheria kumi za kufanya mapenzi duniani ~ n.O.W
 
Alexandria na Minnesota mnaogonga Savannah mpooooo?????????
 
Hiyo no 3 na yenyewe ni mapenzi........?
 
Deejay nasmile

Most ridiculous British laws:
It is illegal to die in the Houses of Parliament

Most ridiculous foreign laws:

1. In Ohio, it is illegal to get a fish drunk
2. In Indonesia, the penalty for masturbation is decapitation
3. In Bahrain, a male doctor can only examine the genitals of a woman in the reflection of a mirror
4. In Switzerland, a man may not relieve himself standing up after 10pm
5. In Alabama, it is illegal to be blindfolded while driving a vehicle
6. In Florida, unmarried women who parachute on a Sunday could be jailed
7. In Vermont, women must obtain written permission from their husbands to wear false teeth
8. In Milan, it is a legal requirement to smile at all times, except funerals or hospital visits
9. In Japan, there is no age of consent
10. In France, it is illegal to name a pig Napoleon
 
1.USALITI NCHINI CHINA INARUHUSIWA KWA MWANAMKE ALIYESALITIWA NA MUME WAKE KUMUUA MUME WAKE,LAKINI SHARTI AMUUE KWA MKONO WAKE

2.KWA SHERIA ZA NERVADA NI KOSA KUBWA SANA KISHERIA KAMA UTAKUTWA UNA UREMBO WOWOTE KATIKA UUME WAKO(MWANAUME)

3.In Bahrain,DAKTARI WA KIUME ANARuHUSIWA KUMTIBU MWANAMKE SEHEMU ZAKE ZA SIRI (MF KUMZALISHA) LAKINI HATAKIWI KUANGALIA MOJA KWA MOJA BALI NI KWA KUPITIA KIOO (REFLECTION)

4 MWANAUME HAWEZI KUFANYA MAPENZI NA MKEWE KAMA MDOMONI ANATOA HARUFU,KWA SHERIA ZA Alexandria, Minnesota KAMA MWANAUME ATAKUWA ANA HARUFU BASI MWANAMKE ANAUWEZO WA KUMUAMRISHA AKAPIGE MSWAKI

sheria zingine tembelea hapa KAMA ULIKUWA HUJUI HIZI NDIO SHERIA KUMI ZA KUFANYA MAPENZI DUNIANI ~ N.O.W

KWA TANZANIA NI MARUFUKU MWANAUME YOYOTE KU-DO KAMA HAIJAMENYWA.........ongezea nyingine tafadhali
 
KWA TANZANIA NI MARUFUKU MWANAUME YOYOTE KU-DO KAMA HAIJAMENYWA.........ongezea nyingine tafadhali

Kwa Tanzania ni marufuku kufanya mapenzi na wanawake wote wenye majina sa...ma??? muulizeni yule aliyeimbaga leoooooooo nataka nitoke na mpenzi wangu seyaaaaaaa
 
Hiyo sheira # 1 ikitumika hapa kwetu, hakuna mwanaume mwenye atasalia akingali hai isipokua mimi tu...😎
 
Back
Top Bottom