GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wana Miezi Mitatu hawajapewa Mishahara na si kwamba labda Tajiri 'Mzanzibari' hana Pesa bali kaamua Kuwafanyia 'Kusudi' baada ya Kuwaambia Wachezaji wanamuangusha kwani anawapa kila Kitu hivyo wakitaka Wafurahi basi nao pia Wamfurahishe.
Hivyo basi Wachezaji wengi wa Azam FC sasa kutokana na 'Stress' pamoja na 'Frustrations' zao za Kunyimwa kwa Makusudi 'Mishahara' yao wanaamua Kumalizia 'Hasira' zao kwa Wachezaji hasa wa Timu 'barikiwa' na Mwenyezi Mungu ya Simba SC ambayo nimeambiwa Wachezaji wao (wake) wameshalipwa 'Mishahara' yao ya Miezi Sita (6) ijayo na Tajiri Mohammed 'Mo' Dewji.
Haya GENTAMYCINE namalizia kwa kutoa ANGALIZO kwa Timu Moja hivi Masikini na ya Kishamba inayojiandaa Kufungwa Goli (Bao) Tano (5) kwa Bila (Sifuri) Jumamosi tarehe 3 July, 2021 kuwa Wamiliki na Matajiri wa hiyo Timu wahakikishe wanawalipa 'Mishahara' yao haraka ili nao wasije 'Kutuulia' Wachezaji wetu Simba SC wenye 'Thamani' ya Kuanzia Shilingi Bilioni 1 huku wao 'Thamani' yao ikiwa ni Shilingi Laki Tano mpaka Shilingi Laki Tisa na pungufu unaongea au hata 'Kuwakopa' pia.
Hivyo basi Wachezaji wengi wa Azam FC sasa kutokana na 'Stress' pamoja na 'Frustrations' zao za Kunyimwa kwa Makusudi 'Mishahara' yao wanaamua Kumalizia 'Hasira' zao kwa Wachezaji hasa wa Timu 'barikiwa' na Mwenyezi Mungu ya Simba SC ambayo nimeambiwa Wachezaji wao (wake) wameshalipwa 'Mishahara' yao ya Miezi Sita (6) ijayo na Tajiri Mohammed 'Mo' Dewji.
Haya GENTAMYCINE namalizia kwa kutoa ANGALIZO kwa Timu Moja hivi Masikini na ya Kishamba inayojiandaa Kufungwa Goli (Bao) Tano (5) kwa Bila (Sifuri) Jumamosi tarehe 3 July, 2021 kuwa Wamiliki na Matajiri wa hiyo Timu wahakikishe wanawalipa 'Mishahara' yao haraka ili nao wasije 'Kutuulia' Wachezaji wetu Simba SC wenye 'Thamani' ya Kuanzia Shilingi Bilioni 1 huku wao 'Thamani' yao ikiwa ni Shilingi Laki Tano mpaka Shilingi Laki Tisa na pungufu unaongea au hata 'Kuwakopa' pia.