Kama ulikuwa unajiuliza ni kwanini Wachezaji wa Azam FC juzi Songea walicheza 'Kikatili' vile kutaka 'Kuua' Wachezaji wa Simba SC jibu hili hapa

Kama ulikuwa unajiuliza ni kwanini Wachezaji wa Azam FC juzi Songea walicheza 'Kikatili' vile kutaka 'Kuua' Wachezaji wa Simba SC jibu hili hapa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wana Miezi Mitatu hawajapewa Mishahara na si kwamba labda Tajiri 'Mzanzibari' hana Pesa bali kaamua Kuwafanyia 'Kusudi' baada ya Kuwaambia Wachezaji wanamuangusha kwani anawapa kila Kitu hivyo wakitaka Wafurahi basi nao pia Wamfurahishe.

Hivyo basi Wachezaji wengi wa Azam FC sasa kutokana na 'Stress' pamoja na 'Frustrations' zao za Kunyimwa kwa Makusudi 'Mishahara' yao wanaamua Kumalizia 'Hasira' zao kwa Wachezaji hasa wa Timu 'barikiwa' na Mwenyezi Mungu ya Simba SC ambayo nimeambiwa Wachezaji wao (wake) wameshalipwa 'Mishahara' yao ya Miezi Sita (6) ijayo na Tajiri Mohammed 'Mo' Dewji.

Haya GENTAMYCINE namalizia kwa kutoa ANGALIZO kwa Timu Moja hivi Masikini na ya Kishamba inayojiandaa Kufungwa Goli (Bao) Tano (5) kwa Bila (Sifuri) Jumamosi tarehe 3 July, 2021 kuwa Wamiliki na Matajiri wa hiyo Timu wahakikishe wanawalipa 'Mishahara' yao haraka ili nao wasije 'Kutuulia' Wachezaji wetu Simba SC wenye 'Thamani' ya Kuanzia Shilingi Bilioni 1 huku wao 'Thamani' yao ikiwa ni Shilingi Laki Tano mpaka Shilingi Laki Tisa na pungufu unaongea au hata 'Kuwakopa' pia.
 
Jana wamefanya mkutano nadhani ni wa kujipanga na julai 3. Manji karudi gsm yupo na wanachama wapo, wataunganisha nguvu ili wamuue mnyama.

Morrison Mzee wa kukera anawasubiri halafu kimoyomoyo anasema hiiiiiiiiiii kama hayati JPM.
 
Jana wamefanya mkutano nadhani ni wa kujipanga na julai 3. Manji karudi gsm yupo na wanachama wapo, wataunganisha nguvu ili wamuue mnyama.

Morrison Mzee wa kukera anawasubiri halafu kimoyomoyo anasema hiiiiiiiiiii kama hayati JPM.
Ninachojua kuna Timu itafungwa 5 bila.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa mtindo basi tarehe 3 hiyo timu masikini ijiandae kufungwa 5 kweli
JamiiForums335322333.jpg
 
Itasikitisha sana, endapo hizi taarifa zitakua na ukweli...
 
Back
Top Bottom