Kama ulikuwa unamchukulia poa Diamond, jipange sana

Em tafuta kitu chochote cha maana u post, namkubali sana Diamond, lakini most of your posts naziona very stupid.
 

Kaka kuna methali ya siku nyingi inasema ''masikini akipata ------ hulia mbwata''na mara nyingi wapambe ndio humharibu tajiri''hata hapo zamani wapambe ndio waliomsifia mfalme alipokuwa mtupu kuwa kavaa suti inayopendeza,hadi mtoto aliposema mbona mfalme yu uchi,sifa anazopewa huyo dogo ni kama marketing jingle hazina uhalisia wowote,wenye hela zao hawapigi kelele kuwa wana hela bali ni vitendo vyao na mambo yao ndio kila mtu anajua mtu fulani ana hela,kuna watu wan hela na hawatumii private jet,wala hawalali hizo presidential suite,na mwisho haya ndio matokeo ya kuwapa kazi watu ambao sio professional.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…