Kama ulikuwa unamchukulia poa Diamond, jipange sana

Kama ulikuwa unamchukulia poa Diamond, jipange sana

Em tafuta kitu chochote cha maana u post, namkubali sana Diamond, lakini most of your posts naziona very stupid.
 
Hivi Kilimanjaro Kempisk unaichukulia poa?
Na je hapo sinza alipo panga ni 5star?
Kama anazo na anaamini anazo ahame Sinza akanunue apartment Oysterbay au Masaki aendane na hadhi yake,
Pia ile nyumba asiigige tena picha aweke Instagram mpaka ikamilike,
Ajifunze kwa Masanja hatangazi utajiri wake ila unajulikana.

Kaka kuna methali ya siku nyingi inasema ''masikini akipata ------ hulia mbwata''na mara nyingi wapambe ndio humharibu tajiri''hata hapo zamani wapambe ndio waliomsifia mfalme alipokuwa mtupu kuwa kavaa suti inayopendeza,hadi mtoto aliposema mbona mfalme yu uchi,sifa anazopewa huyo dogo ni kama marketing jingle hazina uhalisia wowote,wenye hela zao hawapigi kelele kuwa wana hela bali ni vitendo vyao na mambo yao ndio kila mtu anajua mtu fulani ana hela,kuna watu wan hela na hawatumii private jet,wala hawalali hizo presidential suite,na mwisho haya ndio matokeo ya kuwapa kazi watu ambao sio professional.
 
Back
Top Bottom