Kama ulitarajia Yanga kushinda basi hujui mpira

Wkt yanga anacheza na wachovu Rivers Usm Algiers alkua anaungana na Fa Rabat Anaongoza ligi ya moroco, Wkt yanga anacheza na washuka daraja Marumo Usma alkua anamenyana na wanaojua Asec hawezi kufanana
 
Usifanye makosa ya Utopolo kuja na mada za nchi inaenda kupata aibu uarabuni matokeo yake Simba yule mwarabu kidogo tumtoe ni vile tulienda kwao na mtaji wa kagoli kamoja na tulipofika penati hatukuwa na bahati. Nilitazama mpira na rafiki shabiki wa Yanga hakuwa akiamini kinachotokea. Nilipata burudani kumuona kwenye ile hali japo tulishindwa.

Pamoja na udhaifu wa Yanga ila hii ni fainali, and this is football. Dortmund wangekuwa wanajua kiswahili wangenisapoti.

Kama ni lazima kuchekana sisi na wao, kicheko/kilio cha mwisho ndicho chenye raha/huzuni zaidi. Tukisubiri.
 
Mpira wa Yanga umeonekana possession 60% waarabu walipata bahati tu.
Haijaisha mpaka iishe!
Tusubiri kwao , hii mechi ilikuwa ngumu kama nusu fainali. Fainali yenyewe kwa Mwarabu.
Kiufundi Nabi alichelewesha sub, Aucho pengo lilionekana, timu ilikosa balance.
Aziz Ki alitaka kufunga tu hakugawa mapande ya Upendo kama Morisson.
Mayele hakupata usaidizi na akawa anacheza pembeni,
Refa alitunyima penati na kutubana sana.
Waarabu walijiangusha mno mechi haikuwa na ladha.
Kazi Bado IPO Makolo msijisifu utulivu subirini tufungwe marudiano mmeanza mapema kushangilia ujinga
 
Sijui waliona wapi mwarabu anacheza game ya kujilinda akiwa kwao, waarabu wakiwa kwao huwa wanamwaga moto wote, wasitarajie kuwaona hata wakijingusha.

Lazima wachapike kuanzia goli mbili.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi bao LA 2 unalizungumziajeee???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…