Kama uliwahi kula mishkaki ya mia mia, Morogoro basi uliwahi kula mbwa, jamaa wamekamatwa huko

Ila unanunua mshikaki wa 100 kabisa unategemea ni nyama gani hiyo? Serious nyama iuzwe mshkaki sh 100πŸ€”πŸ€” mmh hapo lazima ulishwe mbwa tu
 
Na ile mishikaki ya mia mbili mia bili ya kwenye madebe nimeitafuna vizuri sana. Kumbe bhakonyofu fijho
Bhalema fijo ngimba kalumbu, ila kababu siachi kula hata nikute wanachuna pua ya mbwa pembeniπŸ˜€πŸ˜€
 
Imagination
 
Mbwa ni haram. Hao wauzaji sijui watajibu nini kwa muumba wao.
 
Mbwa rafiki sana wa binadamu, unamlaje??
 
Mbwa ni mtamu sana tatizo sheria zetu na pia hajazoeleka nilijiffunza kumla tukiwa na WACHINA CAMP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…