Kama uliwahi kula mishkaki ya mia mia, Morogoro basi uliwahi kula mbwa, jamaa wamekamatwa huko

Kisheria hii imekaaje??
Je kuna sheria za kukataza kula nyama ya mnyama fulani wa kufugwa achana na wanyamapori.??
 
Hizo tabia zilikuwa Dar naona wakulungwa wametransfer kuja mikoani.

Manzese ndio waanzilishi wa mishikaki ya mbwa baadae ikaenda koko beach.
frankly speaking mishikaki ya coco beach ni ya [emoji240] tena yale makoko Maninaa zao wale wasambaa
 
Umasikini VS Fursa = maisha........kazi iendelee.
 
frankly speaking mishikaki ya coco beach ni ya [emoji240] tena yale makoko Maninaa zao wale wasambaa

Yes coco ni dog live...nyama kilo elfu 6 hadi 8 ,kwenye chips wanauza Mshikaki Vipande vitatu buku ila coco wanauza vipande vi3 Tsh 100 hawana hasara maana nyama ni bure hawanunui ,majibwa koko yapo kibao kitaani.
 
Yes coco ni dog live...nyama kilo elfu 6 hadi 8 ,kwenye chips wanauza Mshikaki Vipande vitatu buku ila coco wanauza vipande vi3 Tsh 100 hawana hasara maana nyama ni bure hawanunui ,majibwa koko yapo kibao kitaani.
Juzi nimeenda hapo naona kama wanatimuliwa fulani kiakili maana kuna upanuzi wa barabara...nikasema yasepe tu haya
 
Juzi nimeenda hapo naona kama wanatimuliwa fulani kiakili maana kuna upanuzi wa barabara...nikasema yasepe tu haya

Hahaha mimi zamani 2014 nilikula mihogo tu na mikachumbali yao ya kabichi tu mishakaki sijaigusa.
 
Kuna mjuba alikamatwa anachuna ngozi paka.. Aisee raia walichomfanya, nadhani alitangulia ahera kabla ya yule paka
 
...Kupenda Urahisi! Were katikati ya Mji Mshikaki was Vifinyango vitatu uuzwe shilingi MIA kweli??? Na we we Unanunua??
Yaani Buku tu una Mishikaki Kumi?? Hats hushituki??
 
M
Nakumbuka kuna siku Nilikuwa natoka mwanza Kwenye Mpira tulifika dodoma usiku tulipata shda xn kupata chakula bahati nzuri kuna mgahawa mmja walikuwa hawajafunga tulipaki pale watu wakanunua chakula wengi walinunua chips na mishikaki Mimi nilinunua nyama iliyofungwa Kwenye foil wanauza elf 5000 yaaani ilikuwa haina radha Kabs mpka leo nikisafiri nanunua bistuct zangu bc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…