Kama uliwahi kula mishkaki ya mia mia, Morogoro basi uliwahi kula mbwa, jamaa wamekamatwa huko

Ni mnyama ambaye amekuwa akitumia nyama kama chakula chake kikuu. Pamoja na kuwa na sifa hizo, miaka ya zamani mnyama huyo alikuwa akitumiwa kama kitoweo na kabila moja maarufu hapa nchini.


Kikwao wanasema huyu anavaula
 
Kwani hiyo mishkaki yenyewe inasemaje? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mbona haya majina hayasadifu na kushika nyama ya mbwa (mnyama haramu)?
Ni mara mia wangeshika kitibaridi kuliko hiyo kitu!
 
Waislamu na Wasabato ndio wana viumbe haramu na vilivyotakaswa
Unamaanisha viumbe vyote vilitakaswa vikatakasika akiwepo mbwa, kwa ajili ya kuliwa?
 
Acha uongo Mbwa wenyewe Morogoro nzima hawafiki mia mbili, labda afuge hao mbwa awe anachinja kidogokidogo!! lkn gharama za kumfuga mbwa ili baadaye umchinje ni ghali na kubwa mno!!! kuliko kufuga mbuzi!!

Mbuzi anakula majani tena yapo bureee hadi mitaaani!! kimbembe ni chakula cha mbwa yeye huyu hata umpe wali/ugali/mboga za majani makande makavu kamwe hali!!!

but wee muwekee tu! nyama heee!! au kamchuzi ka nyama/dagaa/samaki!! ahahaaa! hapo sawa!! mbwa atakula mnooooo!....sasa gharama za kumfuga dog ni kubwa kuliko mbuzi!

mbuzi ukimchanjia anaweza tembea tu barabarani akijichunga mwenyewe tu! hawana shida! km walee wa mbezi beach! hapo hata km umemuiba huyo mbwa kwanza una hatari 2 mosi aweza kukuuma!

pili mwenye mbwa akikukuta utaimba nyimbo zote ulizo wahi kuimba hapa Duniani! tatu utamchunia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…