Kama umeangalia kwa Umakini 'Picha' ya Leo ya Spika Ndugai na 'Her Excellence' Ikulu 'Dom' kwa Jicho la 'Saikolojia: utagundua tu yafuatayo

Mkuu toka nimekufahamu, sijawahi kukosa kuona mgogolo kwenye nyuzi zako. Pole inaonyesha una nyota Kama ya mwendazake.
Mtu Mcha Mungu Kimatendo na siyo Usoni. aliye Tajiri wa Kimaono na Kimtazamo, Mwerevu, Mweledi, Muwazi, Makini, Mkweli, asiye Mnafiki wala Muoga na Mchukia Upumbavu halafu anajiamini na hapendi Kujipendekeza kwa Mtu kama niluvyo GENTAMYCINE na alivyokuwa Hayati Rais Dkt. Magufuli kamwe hatuwezi Kupendwa na Wapumbavu wengi walioko lakini kwa Mwenyezi Mungu huwa tunapendwa na tuna Thamani Kubwa Kwake.

Nakuachia hili Swali ambalo nitashukuru Wewe ukinijibu au hao ( hawa Wapumbavu ) wakikusaidia Kujibu kuwa ni kwanini 98% ya wale JF Members wanaonichukia mno GENTAMYCINE hapa JamiiForums ndiyo hao hao ni 'Followers' wangu Wakubwa na kila waingiapo ( Log In ) ni lazima wazisome 'Threads' zangu na hata 'Comments' zangu?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE Mkuu wangu.

Cc: FORTALEZA ,Inside10, Schmidt
 
Usinitag kwenye ukichaa wako please!
Mpaka umenijibu hivi ni Ushahidi tosha kuwa Ujumbe wangu si tu Umeusoma bali pia Umeuelewa.

Nafurahi kuona unavyonifuatilia Kutwa unayenichukia na Kichaa Mimi na ukiwaacha Wazima wenzako.
 
Mpaka umenijibu hivi ni Ushahidi tosha kuwa Ujumbe wangu si tu Umeusoma bali pia Umeuelewa.

Nafurahi kuona unavyonifuatilia Kutwa unayenichukia na Kichaa Mimi na ukiwaacha Wazima wenzako.
[emoji3][emoji3]
 
Hawataweza mkuu mimi ndie mwizukulu mgikuru mwamba wa miamba....kwenye utawala wa mwanakwenda niliponea chupuchupu kudondoka..lakini kwa sasa namshukuru maulana mama la mama mama samia ananitibu makovu na vidonda alivyoniachia mwanakwenda....
 
Soon anachaguliwa kuqa balozi maana anajiuzulu ubunge muda mchache ujao

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kweli aisee, hao hao wanafuatilia nyuzi zako, wanaelimika na kuhabalika kisha wakishajitambua Wana ku- snitch!! Lakini wewe tembea na ule usemi. "Baniani mbaya" either viatu vyako dawa, japo vikubwa sana ila vinawapwaya, acha wa- kusnich maana unawagwaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…