Kama umeangalia kwa Umakini 'Picha' ya Leo ya Spika Ndugai na 'Her Excellence' Ikulu 'Dom' kwa Jicho la 'Saikolojia: utagundua tu yafuatayo

Kama umeangalia kwa Umakini 'Picha' ya Leo ya Spika Ndugai na 'Her Excellence' Ikulu 'Dom' kwa Jicho la 'Saikolojia: utagundua tu yafuatayo

ID's zimazonisifia na Kunipongeza GENTAMYCINE hapa JamiiForums naambiwa ni zangu na najisifia ila zile ambazo Kutwa zinanishambulia, zinanidhihaki na hata Kunitusi hapa hapa JamiiForums huwa sihusishwi nazo kabisa kuwa pia ni zangu.

Mwenyezi Mungu nakupenda sana na hata Wewe pamoja na Malaika wako akina Gabriel na Michael wanalijua hilo ila GENTAMYCINE nakulaumu tu ni kwanini Umenipendelea Mimi Kunibariki kwa Vitu vingi kama kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hivi pamoja na Kunibariki na hii Natural Charm na Wapumbavu ( Mapopoma ) wengi kama huyu na Wenzake ukawasahau na hukuwapa?

Chuki zenu Kwangu ni Baraka Kwangu!!!
popo-ma kama popo-ma [emoji1787]
giphy.gif
 
ID's zimazonisifia na Kunipongeza GENTAMYCINE hapa JamiiForums naambiwa ni zangu na najisifia ila zile ambazo Kutwa zinanishambulia, zinanidhihaki na hata Kunitusi hapa hapa JamiiForums huwa sihusishwi nazo kabisa kuwa pia ni zangu.

Mwenyezi Mungu nakupenda sana na hata Wewe pamoja na Malaika wako akina Gabriel na Michael wanalijua hilo ila GENTAMYCINE nakulaumu tu ni kwanini Umenipendelea Mimi Kunibariki kwa Vitu vingi kama kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hivi pamoja na Kunibariki na hii Natural Charm na Wapumbavu ( Mapopoma ) wengi kama huyu na Wenzake ukawasahau na hukuwapa?

Chuki zenu Kwangu ni Baraka Kwangu!!!
Nimekuelewa sana GENTAMYCINE ila ninaomba kikuu Liza, ni kwanini leo Speaker Mstaafu hakufunga kamba za viatu?
Usipofunga kamba za viatu ni either miguu imevimba au viatu ni vidogo.
 
Duu! Sikuwahi kuwaza kama hata huku JF Kuna wasomi waliodata....Kuna maelezo nayasoma hata sielewi ameandika Nini.Eeh Mungu Msaidie huyu Mwana JF anayejiita Talented. For what? Mi sijui.
 
1. Katumia Nguvu Kubwa sana ma Juhudi nyingi mno Kuomba kwenda Ikulu Dodoma leo na yawezekana asingepata nafasi hii Presha yake ingepanda na kuanzia Usiku huu au Kesho 'abbreviations' za R.I.P zingeanza Kutawala Kwake kila ukimuita, ukimtaja Hewani.

2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya 98% na Furaha ya Kulazimisha ya 2% tu

3. Ana Maumivu makubwa na hayuko vyema Kiafya na huenda saaa akendelea tu Kuugua mpaka pale akipokea Maagizo kutoka Juu ya Kumpumzisha Kimoja

4. Kabla ya kutoka pale nje ( Mlangoni ) na kupiga Picha inayosambaa Mitandaoni itakuwa alimpigia mno Mtu Magoti, akagalgala, akamlamba Miguu na pengine hata kuomba asuuze Vyombo vichafu vilivyotumiwa na Wageni Ikulu na akapiga sana Deki Bafuni / Maliwatoni

5. Ameshakata Tamaa ya Maisha na anahisi muda Wowote nas anatuachia Tanzania yetu na kwenda Kupumzika mazima Ardhini

6. Kaathirika Kisaikolojia na kwamba Siku zake za kuendelea Kuishi unaweza hata 'Ukazibetia' kwa Mhindi Mkekani

7. Amepata na anaendelea bado kupata Vitisho kutoka kwa 'Chawa Gegedo' wa Mtu na inaonyesha Vitisho hivi vinamnyima Furaha na Usingizi kupelekea pengine hata Kujutia alichokifanya

Ushauri wangu atibiwe mno Kisaikolojia.
#5
Kwahiyo wanaofariki ni wale waliojiktia tamaa pekee?
 
Ukiwa nje ya System mali zako kuwa Jeopardized ni jambo jepesi sana na wale ambao walikuwa maadui zako ambao wao still wamekamata dola!
 
1. Katumia Nguvu Kubwa sana ma Juhudi nyingi mno Kuomba kwenda Ikulu Dodoma leo na yawezekana asingepata nafasi hii Presha yake ingepanda na kuanzia Usiku huu au Kesho 'abbreviations' za R.I.P zingeanza Kutawala Kwake kila ukimuita, ukimtaja Hewani.

2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya 98% na Furaha ya Kulazimisha ya 2% tu

3. Ana Maumivu makubwa na hayuko vyema Kiafya na huenda saaa akendelea tu Kuugua mpaka pale akipokea Maagizo kutoka Juu ya Kumpumzisha Kimoja

4. Kabla ya kutoka pale nje ( Mlangoni ) na kupiga Picha inayosambaa Mitandaoni itakuwa alimpigia mno Mtu Magoti, akagalgala, akamlamba Miguu na pengine hata kuomba asuuze Vyombo vichafu vilivyotumiwa na Wageni Ikulu na akapiga sana Deki Bafuni / Maliwatoni

5. Ameshakata Tamaa ya Maisha na anahisi muda Wowote nas anatuachia Tanzania yetu na kwenda Kupumzika mazima Ardhini

6. Kaathirika Kisaikolojia na kwamba Siku zake za kuendelea Kuishi unaweza hata 'Ukazibetia' kwa Mhindi Mkekani

7. Amepata na anaendelea bado kupata Vitisho kutoka kwa 'Chawa Gegedo' wa Mtu na inaonyesha Vitisho hivi vinamnyima Furaha na Usingizi kupelekea pengine hata Kujutia alichokifanya

Ushauri wangu atibiwe mno Kisaikolojia.
Tanzania ingepata vijana 100 kama wewe wachambuzi wazuri wa habari nadhani tungekuwa mbaali kimataifa..
 
1. Katumia Nguvu Kubwa sana ma Juhudi nyingi mno Kuomba kwenda Ikulu Dodoma leo na yawezekana asingepata nafasi hii Presha yake ingepanda na kuanzia Usiku huu au Kesho 'abbreviations' za R.I.P zingeanza Kutawala Kwake kila ukimuita, ukimtaja Hewani.

2. Tokea alipojiuzuru ana Huzuni Moyoni ya 98% na Furaha ya Kulazimisha ya 2% tu

3. Ana Maumivu makubwa na hayuko vyema Kiafya na huenda saaa akendelea tu Kuugua mpaka pale akipokea Maagizo kutoka Juu ya Kumpumzisha Kimoja

4. Kabla ya kutoka pale nje ( Mlangoni ) na kupiga Picha inayosambaa Mitandaoni itakuwa alimpigia mno Mtu Magoti, akagalgala, akamlamba Miguu na pengine hata kuomba asuuze Vyombo vichafu vilivyotumiwa na Wageni Ikulu na akapiga sana Deki Bafuni / Maliwatoni

5. Ameshakata Tamaa ya Maisha na anahisi muda Wowote nas anatuachia Tanzania yetu na kwenda Kupumzika mazima Ardhini

6. Kaathirika Kisaikolojia na kwamba Siku zake za kuendelea Kuishi unaweza hata 'Ukazibetia' kwa Mhindi Mkekani

7. Amepata na anaendelea bado kupata Vitisho kutoka kwa 'Chawa Gegedo' wa Mtu na inaonyesha Vitisho hivi vinamnyima Furaha na Usingizi kupelekea pengine hata Kujutia alichokifanya

Ushauri wangu atibiwe mno Kisaikolojia.
Picha inazungumza wazi kabisa jamaa hayupo relini kabisa kifikra
 
Mkuu toka nimekufahamu, sijawahi kukosa kuona mgogolo kwenye nyuzi zako. Pole inaonyesha una nyota Kama ya mwendazake.
ID's zimazonisifia na Kunipongeza GENTAMYCINE hapa JamiiForums naambiwa ni zangu na najisifia ila zile ambazo Kutwa zinanishambulia, zinanidhihaki na hata Kunitusi hapa hapa JamiiForums huwa sihusishwi nazo kabisa kuwa pia ni zangu.

Mwenyezi Mungu nakupenda sana na hata Wewe pamoja na Malaika wako akina Gabriel na Michael wanalijua hilo ila GENTAMYCINE nakulaumu tu ni kwanini Umenipendelea Mimi Kunibariki kwa Vitu vingi kama kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer hivi pamoja na Kunibariki na hii Natural Charm na Wapumbavu ( Mapopoma ) wengi kama huyu na Wenzake ukawasahau na hukuwapa?

Chuki zenu Kwangu ni Baraka Kwangu!!!
 
Kwa mh ndugai ndio kaomba kukutana na rais! mleta mada shikamoo[emoji1787]
Kwa akili za kawaida tu Rais anaweza kumuita ndugai kweli? Na ukizingatia mwisho wa kuachana kwao

Watu kama wewe unaona mawingu unauliza leo kutakuwa na jua
 
Duu! Sikuwahi kuwaza kama hata huku JF Kuna wasomi waliodata....Kuna maelezo nayasoma hata sielewi ameandika Nini.Eeh Mungu Msaidie huyu Mwana JF anayejiita Talented. For what? Mi sijui.
Kunichukia Kwako kunakuongezea Utajiri au kukupunguzia Umasikini pamoja na Upumbavu mkubwa ulionao Wewe na wale Wengine wote wenye Chuki nami hapa JamiiForums?

Cc: Inside10, FORTALEZA
 
Tanzania ingepata vijana 100 kama wewe wachambuzi wazuri wa habari nadhani tungekuwa mbaali kimataifa..
Jiandae kuambiwa na Wanaonichukia kwa Baraka Kubwa na Talanta nyingi nilizopewa na Mwenyezi Mungu kuwa hii ID yako ni Mimi Mwenyewe GENTAMYCINE na kwamba hapa nimeandika ili Kujisifia Mkuu.

Kuna Mwenzako aitwae BIG THINKER katika Uzi huu huu wangu amenisifia na Kupendezwa na Uchambuzi wangu na Uandishi ( Uwasilishaji ) wangu ulio wa Kipekee hapa JamiiForums kaishia kuambiwa kuwa Yeye no Mimi na kwamba nimeamua Kujisifia.

GENTAMYCINE sitakiwi Kupendwa na Kuvutiwa nanyi hapa JamiiForums bali natakiwa tu Kuchukiwa, Kudhihakiwa, Kudharauliwa na hata Kutukanwa ndipo wale Wapumbavu wote FORTALEZA , Inside10, Schmidt na Wanaonichukia wafurahi na waridhike.

Fame na Natural Charm yangu inawatesa na Kuwaumiza mno JF Critics wangu na walichokisahau tu ni kwamba Wasinilaumu Mimi au Kunionea Kijicho bali Wamlaumu hasa Mwenyezi Mungu kuwa kwanini amenibariki ( amenitunuku ) na Vipawa vingi na Wao akaamua Kuwanyima?

Ahsanteni nyote mnaonipenda hapa JF.
 
Umejuaje?
Akishakujibu tafadhali nakuomba Unitagi kisha mwambie kwakuwa FORTALEZA ana Uthibitisho wa 100% kuwa hiyo ID ya BIG THINKER ni yangu ( Mimi GENTAMYCINE Mwenyewe ) na nyinginezo zote ambazo huwa zinanisifia na Kunipongeza hapa JamiiForums basi haraka sana atoe Ushahidi wake huo kwa Uongozi wa JamiiForums na ikithibitika pasi na shaka ( na najua JF Founder Maxence Melo ) ni Mweledi na 'Guru: akiwa kama Certified Digital Security Expert ( Genius in IT ) nawaruhusu wanipige PERMANENT BAN au Waifute kabisa hii ID yangu.

Nimeshachoka kuhusishwa na kila ID' s hapa JamiiForums ( na hasa zile ambazo huwa zinaonyesha tu Kunikubali na Kupendezwa nami ) lakini cha Kushangaza zile ID"s ambazo huwa zinanitukana, zinanidhihaki na Kunishambulia kwa kila namna huwa sihusishwi nazo kuwa ni zangu na ni Mimi Mwenyewe.

Uongozi wa JamiiForums hivi ile Sheria yenu ya Watu ( Members ) Kuwasingizia na Kuwahusisha Wengine kwa ID's zisizo zao tena kwa Kukutaja au Kuzitaja hapa Siku hizi imeenda Likizo au mmeshaifuta? This is too much to me...!!!

Cc: Inside10
 
Back
Top Bottom