Kama umechaguliwa Combination ya CBG, fahamu jambo hili mapema

Kama umechaguliwa Combination ya CBG, fahamu jambo hili mapema

kekule benzene

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
1,444
Reaction score
3,576
Habarini wakuu,

Hongereni kwa mliochaguliwa kujiunga na kidatChcha tano, kikubwa tusiishi na historia, Kama ulipata division one O - level jipange upya ukatafute one nyingine ila hakuna uhusiano kati I ya performance ya O level na advance, unaweza ukakuta aliyepata three O level akawa anakimbiza waliopata one.

Wanafunzi wengi wanaochaguliwa combination ya CBG huwa wana malengo ya kusoma Program za afya wakiwa chuo, lakini Ukweli ni kwamba hizi ni ndoto za mchana mbuzi anakula majani.

Hii combination imeshatolewa moja kwa moja kwenye program za afya, hivyo kama umechaguliwa combination hii usitegemee kusoma degree program ya afya, labda unaweza ukasoma Envronmental Health pale MUHAS.

Hivyo kama unapenda kusoma Program za afya either uende college au shule ukabadilishe combination usome PCB (Kuna complications nyingi) au usome CBG Kisha ukimaliza uombe vyuo vya diploma.

Wengi huwa wanaenda kujua hili baada ya kufika shule kitu ambacho huwatoa katika mood ya kusoma.

NB; Kama umechaguliwa PCB au unataka kwenda kubadilisha ili usome PCB inatakiwa ukaze sana, angalau minimum upate two ya kwanza (10) ili uweze kupata program ya afya , Kama unahitaji kusoma chuo cha afya Cha serikali basi nenda katafute one ya 6 kuja chini (3,4, & 5 hapo ndio utakuwa na uhakika 100% wa kutoboa)
 
Habarini wakuu, hongereni kwa mliochaguliwa kujiunga na kidato Cha tano, kikubwa tusiishi na historia, Kama ulipata division one O - level jipange upya ukatafute one nyingine ila hakuna uhusiano kati I ya performance ya O level na advance, unaweza ukakuta aliyepata three O level akawa anakimbiza waliopata one.


Wanafunzi wengi wanaochaguliwa combination ya CBG huwa wana malengo ya kusoma Program za afya wakiwa chuo, lakini Ukweli ni kwamba hizi ni ndoto za mchana mbuzi anakula majani


Hii combination imeshatolewa moja kwa moja kwenye program za afya, hivyo kama umechaguliwa combination hii usitegemee kusoma degree program ya afya, labda unaweza ukasoma Envronmental Health pale MUHAS


Hivyo kama unapenda kusoma Program za afya either uende college au shule ukabadilishe combination usome PCB (Kuna complications nyingi) au usome CBG Kisha ukimaliza uombe vyuo vya diploma.

Wengi huwa wanaenda kujua hili baada ya kufika shule kitu ambacho huwatoa katika mood ya kusoma.


NB; Kama umechaguliwa PCB au unataka kwenda kubadilisha ili usome PCB inatakiwa ukaze sana, angalau minimum upate two ya kwanza (10) ili uweze kupata program ya afya , Kama unahitaji kusoma chuo cha afya Cha serikali basi nenda katafute one ya 6 kuja chini (3,4, & 5 hapo ndio utakuwa na uhakika 100% wa kutoboa)
Unanafasi Yako mbinguni hongera Kwa kuwapa muongozo vijana
 
Na kwa nyongeza kwa vijana wanaoenda Diploma, wanapaswa watoke na GPA kubwa at least 3.5 GPA kama wanampango wa kujiendeleza Degree huko mbelen.

Coz Vyuo vya Bachelor degrees za Afya ni vichache hali inayopelekea, Competition kuwa kubwa katika vyuo hivyo,

hali hiyo inapelekea Natural Selection yaan Survival of the fittest!

Na ikumbukwe pia nafasi ya Diploma zinakuwa chache ktk vyuo ukilinganisha na Direct entry (Form 6) hususan 10 au chini ya 15 kiujumla ktk chuo husika!

So nafas hizo zinazochukuliwa na wenye GPA zilizoshiba (Merit Based), sio GPA za kupuliza.

In short nothing comes easy,
Make your choices wisely!
 
Na kwa nyongeza kwa vijana wanaoenda Diploma, wanapaswa watoke na GPA kubwa at least 3.5 GPA kama wanampango wa kujiendeleza Degree huko mbelen.

Coz Vyuo vya Bachelor degrees za Afya ni vichache hali inayopelekea, Competition kuwa kubwa katika vyuo hivyo,

hali hiyo inapelekea Natural Selection yaan Survival of the fittest!

Na ikumbukwe pia nafasi ya Diploma zinakuwa chache ktk vyuo ukilinganisha na Direct entry (Form 6) hususan 10 au chini ya 15 kiujumla ktk chuo husika!

So nafas hizo zinazochukuliwa na wenye GPA zilizoshiba (Merit Based), sio GPA za kupuliza.

In short nothing comes easy,
Make your choices wisely!
Aya ya 4 ni ukweli mchungu watu wasioutaka kuusikia.

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Huko PCB wakaze kweli kweli ili kuchagukiwa vyuo vya serikali na course nzuri maana unakuta darasa zima wa5 wamefikia ufaulu kiwango cha kozi za Afya wengine wote wanakimbilia uhasibu na kwengineko.
 
But msikate tamaa kuna kozi nyingi na nzuri ilimradi tu basic applied mathematics chemistry na biology uko vzri,,
Kozi kama biotechnology,, microbiology, foodsciense, applied zoology and botany, biochemistry,, na nyingine nyingi sana
 
But msikate tamaa kuna kozi nyingi na nzuri ilimradi tu basic applied mathematics chemistry na biology uko vzri,,
Kozi kama biotechnology,, microbiology, foodsciense, applied zoology and botany, biochemistry,, na nyingine nyingi sana
heri Food Science zingine hapo pasua kichwa tu
 
Hivi mtu ukimaliza sekondari unaendeleaje na sekondari?

Mjiongeze wadau nendeni vyuo
 
Tatizo madogo saivi ujuaji mwingi.
Hawataki ushauri, wakishaona wameingia form five basi anachowaza yeye ni boom la chuo tu.
 
Mkuu nisaidie na mm Yan wazazi wanatak niende advance nikasome pcm akat physics swez Yan hapa sna hamu
 
Basi tunaomba na msaada wa vitabu soft copy vizuri vya biology na chem pia wakuu ..tunatanguliza shukrani
 
sielew kwann CBG imezuiliwa course za afya chuoni kwasababu binafsi advance nilisoma CBG na chuo nikachaguliwa kozi ya afya na throughout the time niko chuo kuna wanafunz wenzangu walosoma PCB advance baadhi yao niliwakimbiza sana, Pia nakumbuka wakati nipo form 5 niliwahi kukutana na ophthalmologist mmoja pale CCBRT akankambia alisomaga CBG pia, i think physics should be compulsory for engineering program rather than medical programs but WHO AM I to decide that
 
Habarini wakuu,

Hongereni kwa mliochaguliwa kujiunga na kidatChcha tano, kikubwa tusiishi na historia, Kama ulipata division one O - level jipange upya ukatafute one nyingine ila hakuna uhusiano kati I ya performance ya O level na advance, unaweza ukakuta aliyepata three O level akawa anakimbiza waliopata one.

Wanafunzi wengi wanaochaguliwa combination ya CBG huwa wana malengo ya kusoma Program za afya wakiwa chuo, lakini Ukweli ni kwamba hizi ni ndoto za mchana mbuzi anakula majani.

Hii combination imeshatolewa moja kwa moja kwenye program za afya, hivyo kama umechaguliwa combination hii usitegemee kusoma degree program ya afya, labda unaweza ukasoma Envronmental Health pale MUHAS.

Hivyo kama unapenda kusoma Program za afya either uende college au shule ukabadilishe combination usome PCB (Kuna complications nyingi) au usome CBG Kisha ukimaliza uombe vyuo vya diploma.

Wengi huwa wanaenda kujua hili baada ya kufika shule kitu ambacho huwatoa katika mood ya kusoma.

NB; Kama umechaguliwa PCB au unataka kwenda kubadilisha ili usome PCB inatakiwa ukaze sana, angalau minimum upate two ya kwanza (10) ili uweze kupata program ya afya , Kama unahitaji kusoma chuo cha afya Cha serikali basi nenda katafute one ya 6 kuja chini (3,4, & 5 hapo ndio utakuwa na uhakika 100% wa kutoboa)
wanaochagua na kuteua huyu amefanya vizuri kwenye pcb nao walisoma pcb ..nadhani wawekwe watu husika kwenye maeneo husika...sio mchaguzi amesoma hkl na anayemchagua kasoma pcb tunafeli hapo..kuna pepa zingine kama ulisoma pcb ukiona unasema mwenye div 3 ni sawa na 1
 
sielew kwann CBG imezuiliwa course za afya chuoni kwasababu binafsi advance nilisoma CBG na chuo nikachaguliwa kozi ya afya na throughout the time niko chuo kuna wanafunz wenzangu walosoma PCB advance baadhi yao niliwakimbiza sana, Pia nakumbuka wakati nipo form 5 niliwahi kukutana na ophthalmologist mmoja pale CCBRT akankambia alisomaga CBG pia, i think physics should be compulsory for engineering program rather than medical programs but WHO AM I to decide that
Katika vitu naipongeza wizara ya elimu na vyuo vya afya ni kufanya Physics kuwa lazima kwa masomo ya afya.
 
sielew kwann CBG imezuiliwa course za afya chuoni kwasababu binafsi advance nilisoma CBG na chuo nikachaguliwa kozi ya afya na throughout the time niko chuo kuna wanafunz wenzangu walosoma PCB advance baadhi yao niliwakimbiza sana, Pia nakumbuka wakati nipo form 5 niliwahi kukutana na ophthalmologist mmoja pale CCBRT akankambia alisomaga CBG pia, i think physics should be compulsory for engineering program rather than medical programs but WHO AM I to decide that
Ilikua mwaka gani huo?

Nadhani kuanzia 2015 walipiga marufuku kama huna PCB afya utaisomea kwenu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitu kama hivi vijana wanapaswa kuelezwa wakati tu wanaanza form one, na virudiwe kila wanapoingia kidato kingine. Kuna walimu na wazazi wengi sana hawajui hili kabisa. Huko mbele ya safari ni majuto. Bila kusoma Physics na kufaulu kuja kusomea degree za fani ya Afya ni jambo lisilowezekana kwa sasa hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom